Hilo halina ubishi, 100% credit kwao wakufunzi wa makomandoo wa ukweli waliowiva hawa.
Pamoja na kuonelewa, wakiwa na uwezo wakuwapa kisago cha mbwa mwizi Kingai, Mahita & Co. Ltd, walionyesha weledi na uvumilivu wa hali ya juu katika kipindi chote tangia kutekwa, kuteswa na hadi leo.
Bila aibu W.S alipenda pamoja na haya:
View attachment 1953474
kunyimwa chakula, vipigo, kuchomwa chomwa na bisibisi, kutishiwa kifo, nk chini ya wanaojiita walinzi wa raia na mali zao, Adamoo alipaswa kuona ni sawa eti kwa sababu ni komandoo.
Hiiiiii bagosha!
Kama taifa tumewaangusha sana wazalendo hawa.