Kama kuna kada ya watu wachafu wa nafsi na wafitini ,waonevu wenye roho mbaya kupitiliza basi namba moja ni "mandata" ,"njagu","mamwela"."wafugabata"
Wakifuatiwa na wanasiasa
πππππππΏumefanya ulinganisho mkali sana
hiki ndicho wanachokitafuta kwa bidii polisi wanaotumika bila kufuata mwongozo wa kazi zao na haki. Je hawajifunzi kwa Abdallah "Zombi" ambaye leo hii akitembea anaongea peke yake???Kama vipi na yeye akipata nafasi alianzishe tu. Ameweza Hamza, halafu ashindwe mtu mwenye CV kubwa ya mapambano kama yake!!
Hii kesi inayoendelea inatuonesha kuwa adui namba moja wa haki za raia nchi hii ni nani!! Kesi hii inaonesha ni nani ambao ni maadui wa taifa... Kesi hii inaonesha wale maiti wa coco kwenye viroba nani wahusika... Kesi hii inavumbua lile fumbo la WASIOJULIKANA NA WATEKAJI NI KINA NANI.Hilo halina ubishi, 100% credit kwao wakufunzi wa makomandoo wa ukweli waliowiva hawa.
Pamoja na kuonelewa, wakiwa na uwezo wakuwapa kisago cha mbwa mwizi Kingai, Mahita & Co. Ltd, walionyesha weledi na uvumilivu wa hali ya juu katika kipindi chote tangia kutekwa, kuteswa na hadi leo.
Bila aibu W.S alipenda pamoja na haya:
View attachment 1953474
kunyimwa chakula, vipigo, kuchomwa chomwa na bisibisi, kutishiwa kifo, nk chini ya wanaojiita walinzi wa raia na mali zao, Adamoo alipaswa kuona ni sawa eti kwa sababu ni komandoo.
Hiiiiii bagosha!
Kama taifa tumewaangusha sana wazalendo hawa.
Hii kesi inayoendelea inatuonesha kuwa adui namba moja wa haki za raia nchi hii ni nani!! Kesi hii inaonesha ni nani ambao ni maadui wa taifa... Kesi hii inaonesha wale maiti wa coco kwenye viroba nani wahusika... Kesi hii inavumbua lile fumbo la WASIOJULIKANA NA WATEKAJI NI KINA NANI.
DPP ameamua kuwaanika au kwa kifupi AMECHANA SANA MAITI ANAADHIRIKA SASA...
Huyo Adamoo ndio nani? na amefanya nini?