Adani Airports Holdings ya India yaomba kuwekeza uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta kwa miaka 30

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Wale waliochukua bandari ya dar ,eneleo walilokuwa wamewekeza TICTs wanaitwa nani? Naomba mnikumbushe
 
Hivi wenzetu wa mabara mengine nao wanawapangisha Waafrika mali zao? Au tulikuwa wabichi sana kudai uhuru?? Inashangaza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…