mkuu,ndio maana nkaamua kuleta hii thread hapa bcoz as time goes on,nahc kama najish2kia flani hvi,yani it's like najiona niko too much kwa hawa wa2 wa aina hii,inafikia time nakua cjifill chochote ninapokutana na wasichana ambao wa rika langu,ndo maana naona kama niko addicted mkuu.Duh Senetor! pole pole kaka,yani unamanisha huna wakudumu au huna mmoja unao wengi ukijisikia tuu unaruka na mmoja? ivi unadhani una utendea haki afya yako? sio kwa sababu ya majimama hapana wewe mwenyewe unajipenda kweli? mbona ni mdogo umri wako kwa mkorogo huo unao ufanya? kumbuka Kama ingekua tamu hiyo usingeikuta,nende nayo aste aste.
yeah,naweza kusema nina mpz zaidi ya m1 mkuu bt siwez kuwaita wapenzi,mayb cc vijana wa kileo 2naweza kuwaita vipoozeo,by the way kuhusu masomo,naendelea vzr 2 so haijaniaffect kwa namna yoyote ile..kwa hiyo una maanisha una mpenzi zaidi ya mmoja? wewe una pepo wa ngono, nahisi hapa unamtuhumu ex- wako ili upate sababu ya kuhalalisha ufuska. Halafu uko chuoni, unafanya nn? For sure at the end of the day utavuna mabua. Ila mh!.....kipendacho roho, hula nyama mbichi, kumbuka kucheza salama, otherwise R.I.P
dah!mkuu,hata mazingra ninayokutanaga na hawa wa2 wangu,cdhani ka wanaweza kuwa wake za wa2,afu bahati mbaya cnaga tabia ya kumdadic m2 ili kumjua so nashndwa kuelewa huwa ni wake za wa2 or vp!kama alivyosema afrodenzi,fanya kile roho yako inapenda,ila play safe.inaonyesha hutaki kuji commit katika relationship.kwako wewe unataka one night stand huku maisha yanaendelea.uzuri wa majimama:na wao wanapenda kumalizwa haja zao,kuna kuolewa hapo au kuhongwa kwa wingi,no stress,no introduction kwa ndugu na jamaa.ubaya wa majimama:maybe wengine ni wake za watu,au wamefiwa na waume zao{hujui wamefariki na nini}unaweza ukawindwa na waume zao na wakakufanya lolote lile.kwa upande mwengine wewe ni kijana mdogo kujiingiza na mambo hayo
mkuu,labda k2 ambacho cjakieleza ni kwamba,haya mambo nafanyaga nkiwa huku chuon 2,bt pindi nirudipo mkoani{nyumban}huwa cjihusish na aina yoyote ya mapenz,so hata my homers+wana jamii wote wanao nzunguka wananiona mstaarabu flani hivi bt siri ya maisha yangu naijua mwenyewe.Yes kuna madhara makubwa sana1) You will never be independent2)You might not get married but utaishia kufugwa na hayo majimama3) Hata ukiona, utakuwa kama mzaire, utapendwa kutunzwa na kudekezwa na mkweo, kitu ambacho nina hakikaa hataweza4) status/mwonekano wako kwenye jamii utalingana na matgendo yakoUshauri: achana na hiyo tabia mbaya,
mkuu,labda k2 ambacho cjakieleza ni kwamba,haya mambo nafanyaga nkiwa huku chuon 2,bt pindi nirudipo mkoani{nyumban}huwa cjihusish na aina yoyote ya mapenz,so hata my homers+wana jamii wote wanao nzunguka wananiona mstaarabu flani hivi bt siri ya maisha yangu naijua mwenyewe.