Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Tutamkumbuka Mheshimiwa DaimaJana akihojiwa na vyombo vya habari Ismail Aden Rage ameiita ligi kuu ya Tanzania ni ligi ya mbuzi isiyo na lolote.
Kiongozi wa aina yake tena kiongozi mustaafu wa TFF haikuwa busara hata kidogo kuongea kauli kama ile ya ki fedhuri!
TFF watu kama hawa ndiwo wa kufungiwa hata miaka 100.
Sio uhuru wa kutoa maoni huo?Jana akihojiwa na vyombo vya habari Ismail Aden Rage ameiita ligi kuu ya Tanzania ni ligi ya mbuzi isiyo na lolote.
Kiongozi wa aina yake tena kiongozi mustaafu wa TFF haikuwa busara hata kidogo kuongea kauli kama ile ya ki fedhuri!
TFF watu kama hawa ndiwo wa kufungiwa hata miaka 100.
Huyu si ndiyo maana alifungwa kwa kesi za FAT hana lolote huyo msomali uchwaraJana akihojiwa na vyombo vya habari Ismail Aden Rage ameiita ligi kuu ya Tanzania ni ligi ya mbuzi isiyo na lolote.
Kiongozi wa aina yake tena kiongozi mustaafu wa TFF haikuwa busara hata kidogo kuongea kauli kama ile ya ki fedhuri!
TFF watu kama hawa ndiwo wa kufungiwa hata miaka 100.
Acha uongo hakusema ligi ya Tz ni kombe la mbuziJana akihojiwa na vyombo vya habari Ismail Aden Rage ameiita ligi kuu ya Tanzania ni ligi ya mbuzi isiyo na lolote.
Kiongozi wa aina yake tena kiongozi mustaafu wa TFF haikuwa busara hata kidogo kuongea kauli kama ile ya ki fedhuri!
TFF watu kama hawa ndiwo wa kufungiwa hata miaka 100.
Huyu ana dharau sana si alituita simba ni mbumbumbu ana mdomo mchafu sana
Acha uongo hakusema ligi ya Tz ni kombe la mbuzi
Hakutamka neno TFF wala ligi ya Tz
Alitamka "haya mashindano yenu ya ligi ya mbuzi tutawaachia nyie" sasa kwa kauli iyo Je ni wapi Tff imetajwa au ni wapi NBC PL imetajwa ?
Acha izo
Shida yako una quote kauli ya mtu kisha una itolea ufafanuzi ww ilihali sio kauli yako ..hapo ndio shida tayariUnahitaji akili kidogo mlamu.!
TaakbiirTutamkumbuka Mheshimiwa Daima
Shida yako una quote kauli ya mtu kisha una itolea ufafanuzi ww ilihali sio kauli yako ..hapo ndio shida tayari
Naam! tena unalindwa na Katiba.Sio uhuru wa kutoa maoni huo?