demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Licha ya kuwa Yanga haijapata kupoteza mchezo wa kiushindani msimu huu wa 2020/21, bado kuna haja na sababu ya kuhakikisha tunaimarisha safu ya ulinzi ili kuhakikisha tunapunguza idadi ya magoli ya hovyo hovyo tunayo fungwa.
Katika eneo pekee la ulinzi ambako kuna shida ni eneo la mabeki wa pembeni.
Kwa kipindi kirefu kumekuwa hakuna wachezaji wenye kaliba ya kufanana kiuwezo. Wachezaji waliopo ni wakawaida sana. Na hata kukosa hadhi ya kumwezesha mwalimu kufanya rotation ya wachezaji kutokana na uwezo wao.
Katika dirisha la usajili la msimu ujao ni vyema kufanyike kwa ongezeko la wachezaji kama Edward Manyama (ruvu) na Shaban Djuma (vita). Wachezaji kama Adeyun Saleh na Paul Godfrey inabidi wakatafute changamoto pahala pengine. Tunataka kuongeza ushindani katika eneo la ulinzi ili kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa msimu ujao wa 2021/22.
Ni wakati wa kuirudisha team katika Ubora wake sasa.
Katika eneo pekee la ulinzi ambako kuna shida ni eneo la mabeki wa pembeni.
Kwa kipindi kirefu kumekuwa hakuna wachezaji wenye kaliba ya kufanana kiuwezo. Wachezaji waliopo ni wakawaida sana. Na hata kukosa hadhi ya kumwezesha mwalimu kufanya rotation ya wachezaji kutokana na uwezo wao.
Katika dirisha la usajili la msimu ujao ni vyema kufanyike kwa ongezeko la wachezaji kama Edward Manyama (ruvu) na Shaban Djuma (vita). Wachezaji kama Adeyun Saleh na Paul Godfrey inabidi wakatafute changamoto pahala pengine. Tunataka kuongeza ushindani katika eneo la ulinzi ili kupunguza idadi ya magoli ya kufungwa msimu ujao wa 2021/22.
Ni wakati wa kuirudisha team katika Ubora wake sasa.