Napenda kuuliza ili nifahamu. Wale wachezaji wa Coastal Union waliomfanyia fujo mwamuzi katika mechi yao dhidi ya Azam, je, wameishaadhibiwa? Kama ndio, ni adhabu ipi?
Kuna baadhi ya wachezaji wa Coastal walimzonga refa dakika za mwisho kabla mpira haujaisha, na mmojawapo wa sub alimpiga refa kwa kiatu ila hakikumpata vizuri maan refa alikuwa anarudi kinyume nyume. Kingempata usoni vizuri angejeruhuiwa vibaya. Pia, wachezaji wa Coastal wa Sub, walikuwa wanarusha makopo uwanjani. Hakika wakionesha nidhamu mbaya sana.
Huwa nafuatilia habari hasa za kusoma ila sijaiona hiyo habari ya adhabu, sasa labda ilitangazwa kwenye redio au tv.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi ya wachezaji wa Coastal walimzonga refa dakika za mwisho kabla mpira haujaisha, na mmojawapo wa sub alimpiga refa kwa kiatu ila hakikumpata vizuri maan refa alikuwa anarudi kinyume nyume. Kingempata usoni vizuri angejeruhuiwa vibaya. Pia, wachezaji wa Coastal wa Sub, walikuwa wanarusha makopo uwanjani. Hakika wakionesha nidhamu mbaya sana.
Huwa nafuatilia habari hasa za kusoma ila sijaiona hiyo habari ya adhabu, sasa labda ilitangazwa kwenye redio au tv.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app