Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kosa la mtu mwingine halilalishi mwingine kufanya kosa.ungeanza na refa kwanza
wale waliovunja viti ni wahuni tu walikua wanatafuta sababu za kufanya fujo
Wote waadhibiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa la mtu mwingine halilalishi mwingine kufanya kosa.ungeanza na refa kwanza
wale waliovunja viti ni wahuni tu walikua wanatafuta sababu za kufanya fujo
Kwahiyo kama goli lao limekataliwa na la wapinzani limekubaliwa ukivunja viti ndio linafutwa?kwanini wasisubiri mpira uishe then wakakata rufaa?sasa wewe uliocheza Mpira na unaoupenda mpira je kuvunja viti kimewasaidia nini?Wewe unayeitetea tff na kuikandamiza simba nina uhakika hujacheza mpira wala hupendi mpira toka moyoni au utakua uoande wa pili tofauti na simba, hivi kabla mashabiki hawajavunja viti lazima ujiulize kwa nini wavu je viti?? Goli lao halali limekataliwa, mtu anashika mpira kwa mkono kabsa na kila mtu ameliona jambo hilo refa na linesman wake ambao wte wawili wapo ndan ya nusu ya simba eti hawajaona na wanakubali ni goli.. Kma unapenda mpira kwa dhati unajua tempo ya mpira na ndo maan mashabk wa simba walifanya vile japokuwa hakuna anayesapoti kilochofanyika.. Ila kwa nini kimefanyika?? Kwann kila siku TFF na yanga tu?? Kuna maslahi gan hpo kati, na ndo maan watimu hta wakitoka nje wanaishia kututia aibu tu, we jiulize kwa nini kila siku yanga tu??
Kweli simba wahuni kabisa hawafai, waige ustaarabu wa Yanga kama walivyounesha mechi ya marudiano na TP MazembeJapo kuwa refa na rise man wake waliboronga jana,lkn hamna mahusiano kati ya kuboronga kwa refa na kutuharibia uwanja wetu. Simba hili tukio ni la pili ukiacha la kwanza na kagera sugar waling'oa viti na jana wanafanya hivyo hivyo. Wiki kama mbili walilalamika uwanja wa uhuru si mzuri kutokana na nyasi bandia wakakubaliwa kutumia uwanja wa taifa, sasa jana wamefanya uchizi wa kiwango cha PhD, mimi kama ningekuwa TFF ningewapiga marufuku kutumia uwanja wa taifa kwa msimu mzima, wakatumie uwanja ule wa uhuru na kitendo alichokifanya mkude cha kihuni, kwani yy ni professional lkn anatabia za wachezaji wa ndondo. Duniani kote marefa kukosea kitu cha kawaida (refa nae binadam) chukulia kama mechi ya msimu uliopita EPL London derby mechi kati ya chelsea na Arsenal, kitendo cha kihuni alichofanya Costa lkn kadi akapewa Gabriel, lkn kuanzia wachezaji mpaka mashabiki hawakureact kihuni kama jana walivyofanya mashabiki na wachezaji wa simba. Narudia tena Simba inabidi wapewe adhabu kali sana tena sana, iwe fundisho ili wasirudie tena na mwamuzi nae apewe adhabu kali kwani nae mechi ya pili hii anaboronga (aliboronga mechi msimu uliopita kati ya yanga na cost Union).
mechi ya simba na yanga ni zaidi ya unavyofikiria yaani mtu kafunga kwa mkono iwe refalii kapitiwa au hajapitiwa siku nyingine usijekushangaa wakang'oa uwanja mfunge kwa mkono halafu watu wawachekee simba hawapendi ujingaJapo kuwa refa na rise man wake waliboronga jana,lkn hamna mahusiano kati ya kuboronga kwa refa na kutuharibia uwanja wetu. Simba hili tukio ni la pili ukiacha la kwanza na kagera sugar waling'oa viti na jana wanafanya hivyo hivyo. Wiki kama mbili walilalamika uwanja wa uhuru si mzuri kutokana na nyasi bandia wakakubaliwa kutumia uwanja wa taifa, sasa jana wamefanya uchizi wa kiwango cha PhD, mimi kama ningekuwa TFF ningewapiga marufuku kutumia uwanja wa taifa kwa msimu mzima, wakatumie uwanja ule wa uhuru na kitendo alichokifanya mkude cha kihuni, kwani yy ni professional lkn anatabia za wachezaji wa ndondo. Duniani kote marefa kukosea kitu cha kawaida (refa nae binadam) chukulia kama mechi ya msimu uliopita EPL London derby mechi kati ya chelsea na Arsenal, kitendo cha kihuni alichofanya Costa lkn kadi akapewa Gabriel, lkn kuanzia wachezaji mpaka mashabiki hawakureact kihuni kama jana walivyofanya mashabiki na wachezaji wa simba. Narudia tena Simba inabidi wapewe adhabu kali sana tena sana, iwe fundisho ili wasirudie tena na mwamuzi nae apewe adhabu kali kwani nae mechi ya pili hii anaboronga (aliboronga mechi msimu uliopita kati ya yanga na cost Union).
walifanya vurugu hadi kuvunja mageti na kumpiga mwamuzi lakini wakapewa msamaha.Walisamehewa kivipi???