Adhabu kwa Simba

Adhabu kwa Simba

ungeanza na refa kwanza
wale waliovunja viti ni wahuni tu walikua wanatafuta sababu za kufanya fujo
Kosa la mtu mwingine halilalishi mwingine kufanya kosa.
Wote waadhibiwe
 
Wewe unayeitetea tff na kuikandamiza simba nina uhakika hujacheza mpira wala hupendi mpira toka moyoni au utakua uoande wa pili tofauti na simba, hivi kabla mashabiki hawajavunja viti lazima ujiulize kwa nini wavu je viti?? Goli lao halali limekataliwa, mtu anashika mpira kwa mkono kabsa na kila mtu ameliona jambo hilo refa na linesman wake ambao wte wawili wapo ndan ya nusu ya simba eti hawajaona na wanakubali ni goli.. Kma unapenda mpira kwa dhati unajua tempo ya mpira na ndo maan mashabk wa simba walifanya vile japokuwa hakuna anayesapoti kilochofanyika.. Ila kwa nini kimefanyika?? Kwann kila siku TFF na yanga tu?? Kuna maslahi gan hpo kati, na ndo maan watimu hta wakitoka nje wanaishia kututia aibu tu, we jiulize kwa nini kila siku yanga tu??
Kwahiyo kama goli lao limekataliwa na la wapinzani limekubaliwa ukivunja viti ndio linafutwa?kwanini wasisubiri mpira uishe then wakakata rufaa?sasa wewe uliocheza Mpira na unaoupenda mpira je kuvunja viti kimewasaidia nini?
 
Chanzo ni hao wanaoandaa ligi nawanao chezesha ligi yani makosa yanayo onekana vzuri kabisa mtu yupo nyuma kabisa anaona kosa lefa na wasaidizi wake hawaoni hatuwezi kulea upuuzi huo mpaka pale watakapo jirudi
 
Mleta uzi angekuwa na busara kama baadhi ya waleta uzi humu jf angeuliza kama waliofanya fujo ni vichaa au wana akili timamu, na kama siyo vichaa kwa nini fujo?? na siyo hukumu yenye lengo la kukata matawi badala ya kukata mizizi!!!
 
Japo kuwa refa na rise man wake waliboronga jana,lkn hamna mahusiano kati ya kuboronga kwa refa na kutuharibia uwanja wetu. Simba hili tukio ni la pili ukiacha la kwanza na kagera sugar waling'oa viti na jana wanafanya hivyo hivyo. Wiki kama mbili walilalamika uwanja wa uhuru si mzuri kutokana na nyasi bandia wakakubaliwa kutumia uwanja wa taifa, sasa jana wamefanya uchizi wa kiwango cha PhD, mimi kama ningekuwa TFF ningewapiga marufuku kutumia uwanja wa taifa kwa msimu mzima, wakatumie uwanja ule wa uhuru na kitendo alichokifanya mkude cha kihuni, kwani yy ni professional lkn anatabia za wachezaji wa ndondo. Duniani kote marefa kukosea kitu cha kawaida (refa nae binadam) chukulia kama mechi ya msimu uliopita EPL London derby mechi kati ya chelsea na Arsenal, kitendo cha kihuni alichofanya Costa lkn kadi akapewa Gabriel, lkn kuanzia wachezaji mpaka mashabiki hawakureact kihuni kama jana walivyofanya mashabiki na wachezaji wa simba. Narudia tena Simba inabidi wapewe adhabu kali sana tena sana, iwe fundisho ili wasirudie tena na mwamuzi nae apewe adhabu kali kwani nae mechi ya pili hii anaboronga (aliboronga mechi msimu uliopita kati ya yanga na cost Union).
Kweli simba wahuni kabisa hawafai, waige ustaarabu wa Yanga kama walivyounesha mechi ya marudiano na TP Mazembe
 
Japo kuwa refa na rise man wake waliboronga jana,lkn hamna mahusiano kati ya kuboronga kwa refa na kutuharibia uwanja wetu. Simba hili tukio ni la pili ukiacha la kwanza na kagera sugar waling'oa viti na jana wanafanya hivyo hivyo. Wiki kama mbili walilalamika uwanja wa uhuru si mzuri kutokana na nyasi bandia wakakubaliwa kutumia uwanja wa taifa, sasa jana wamefanya uchizi wa kiwango cha PhD, mimi kama ningekuwa TFF ningewapiga marufuku kutumia uwanja wa taifa kwa msimu mzima, wakatumie uwanja ule wa uhuru na kitendo alichokifanya mkude cha kihuni, kwani yy ni professional lkn anatabia za wachezaji wa ndondo. Duniani kote marefa kukosea kitu cha kawaida (refa nae binadam) chukulia kama mechi ya msimu uliopita EPL London derby mechi kati ya chelsea na Arsenal, kitendo cha kihuni alichofanya Costa lkn kadi akapewa Gabriel, lkn kuanzia wachezaji mpaka mashabiki hawakureact kihuni kama jana walivyofanya mashabiki na wachezaji wa simba. Narudia tena Simba inabidi wapewe adhabu kali sana tena sana, iwe fundisho ili wasirudie tena na mwamuzi nae apewe adhabu kali kwani nae mechi ya pili hii anaboronga (aliboronga mechi msimu uliopita kati ya yanga na cost Union).
mechi ya simba na yanga ni zaidi ya unavyofikiria yaani mtu kafunga kwa mkono iwe refalii kapitiwa au hajapitiwa siku nyingine usijekushangaa wakang'oa uwanja mfunge kwa mkono halafu watu wawachekee simba hawapendi ujinga
 
Mie simba
Lakini ujinga kama ule siungi Mkono kabisa
 
uwanja ule una security cameras! wanausalama wawabaini waliofanya vurugu mmoja baada ya mwingine tena kimya kimya. Baadaye watupe taarifa wakiwa tayari wameisha maliza kuwashughulikia.
 
Yaani viti 1700 vimeharibiwa,kila kiti kinathaman ya tsh laki mbili. Aisee hii hasara kubwa sana.
 
Back
Top Bottom