Adhabu kwa watoto

Adhabu kwa watoto

Uspeter

New Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
1
Reaction score
0
Ndugu zangu napenda kuuliza,
Je, inafaa mwalimu kumpiga mtoto kwa kosa la kutopeleka fedha ya kumchangia mwalimu wa kujitolea shuleni ingali hayo ni makubaliano ya walimu na wazazi/walezi?
 
Ndugu zangu napenda kuuliza,
Je, inafaa mwalimu kumpiga mtoto kwa kosa la kutopeleka fedha ya kumchangia mwalimu wa kujitolea shuleni ingali hayo ni makubaliano ya walimu na wazazi/walezi?
Mzazi ndo anafaa apigwe kwa kosa hilo si mtoto.
 
Back
Top Bottom