Dadi Barnea
Member
- Nov 30, 2024
- 40
- 33
Kwa uharibifu mkubwa uliofanywa na mashabiki wa Simba kung’oa viti vya Uwanja wa Benjamini Mkapa kipindi ambacho marekebisho mbalimbali yanaendelea kufanywa na serikali katika Uwanja huo, adhabu pekee wanayostahili Klabu ya Simba ni kufungiwa kucheza bila mashabiki kwa kipindi cha mwaka mmoja, au hata zaidi.
Hiyo itakuwa ni njia sahihi ya kuwalazimisha mashabiki wa Simba kustaarabika; tunafahamu mashabiki hao wengi ni wakaazi wa Dar es Salaam mji ambao umekithiri kwa kuwa na raia wengi walio wavunjifu wa sheria, si barabarani ama hata maofisini.
Soma Pia:
Hiyo pamoja na rungu la CAF itatosha kuleta ustaarabu tunaoutarajia katika burudani na biashara ya mpira.
Hiyo itakuwa ni njia sahihi ya kuwalazimisha mashabiki wa Simba kustaarabika; tunafahamu mashabiki hao wengi ni wakaazi wa Dar es Salaam mji ambao umekithiri kwa kuwa na raia wengi walio wavunjifu wa sheria, si barabarani ama hata maofisini.
Soma Pia:
- Jeshi la Polisi latoa tamko baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti Uwanja wa Taifa
- Klabu ya Simba yalaani vurugu zilozofanywa na Klabu ya CS Sfaxien jijini Dar
Hiyo pamoja na rungu la CAF itatosha kuleta ustaarabu tunaoutarajia katika burudani na biashara ya mpira.