umenena ukweli kabisa mwenye masikio na asikieUkishabikia sana simba na yanga Automatically kichwani zinaanza kulegea.
Nawasihi sana watanzania wenzangu, Hizo timu ni mtego wa kisiasa wa propaganda za Dola.
Msipoteze sana Muda kwenye mambo za simba na yanga.
MWENYE MASIKIO YA KUSIKIA NA ASIKIE.
Muamini mleta habari hata profile picture yake inasadifu u undercover wake hakika ni undercover kweli kweli.Uongo wa vijiweni huu... lete hapa ushahidi ndo tukuamini... lasivyo utakuwa umeongea takataka tu za kwenye vijiwe vyenu vya utoh
Bora umemsaidia mkuuMuamini mleta habari hata profile picture yake inasadifu u undercover wake hakika ni undercover kweli kweli.
Simba kuna winga kweli paleCHAMA AKICHEZA NAMBA 10 KOCHA ANAPATA MAWINGA WENGI TU MBONA
Inhiiiiiiiiiii !! (in Magufuli's voice) 😆😂🤣.
HATARIInhiiiiiiiiiii !! (in Magufuli's voice) [emoji38][emoji23][emoji1787].
HATARI SANAKwa viongozi waliopo Simba sasa hilo la Saidoo kuwa na mkataba unaomtaka acheze mechi zote dakika zote linawezekana kabisa. Haiwezekani iwe mipira yote inafia kwa Saidoo halafu makocha wataalamu kuanzia Robertino na sasa Benchika hawaoni hilo tatizo.
Kingine cha kuchekesha ni pale unaona Miquisone yupo benchi Saidoo anaharibu mpaka dakika ya 87 kocha ndio anamtoa. Au siku Kibu mpira umemkubali unashangaa anatolewa wakati huo huo Saidoo unakuta amezingua mwanzo mwisho bado ataendelea kucheza mpaka dakika ya 90.
Hilo la jaribu Tena kuwa na percent kwa Saidoo nimewahi kulisikiaHakuna ulichosema kisicho sahihi. Jaribu Tena ana asilimia kwenye mshahara wa Saidoo.
UNDERCOVER MBOBEZI [emoji41]Sahihi kabisa mkuu NALIA NGWENA ...aka CIA agent
Saka arsenal haruhusiwi kutolewa kabla ya 70 minutes labda kwa sababu ulizosema hapo juuNilijua ni hadithi za kutunga Kama hadithi zingine zinavyotungwa lakini nilipata ukweli baada ya kufuatilia kiundani na kugundua kuwa ni habari za ukweli pasi na shaka kuwa
"Saidoo Ntibazonkiza alisaini Mkataba wenye kipengele lazima acheze kikosi cha kwanza"
"Na kitakachomuweka benchi ni Majeraha, adhabu za kadi ama dharura Kama kufiwa n.k
NALIA NGWENA the undercover au afsa kipennyo kama alivyonibatiza ndugu yangu Labani og kwa kupata habari za ndani kabisa nathibitisha Hili linaukweli ndani yake kwa asilimia mia kabisa kuwa hicho kipengele kipo na Mkataba wake ndiyo ulivyosainiwa.
Maoni Yangu: Hatupaswi kumlaumu Saidoo Ntibazonkiza Ila tunapaswa kuwalaumu viongozi kwa kutengeneza Mkataba wa hovyo kama huu kwa timu kubwa Kama Simba sc.
Kuna muda Saidoo Ntibazonkiza huwa mchezo unamkataa kabisa anapaswa kufanyiwa Sub mapema lakini kutokana na kipengele cha Mkataba kocha anashindwa.
Sasa hii ipo kwa Saidoo ntibazonkizaSaka arsenal haruhusiwi kutolewa kabla ya 70 minutes labda kwa sababu ulizosema hapo juu
Oh sawa. Hata ox chambeline nae ilikuwa hivyo ukizidisha muda unalipa. Siku moja wenger alimtoa jamaa alikuwa moto. Sana watu walitukana sana coz hawakujua hilo jambo.Sasa hii ipo kwa Saidoo ntibazonkiza
TUPE NA NUKUU YA RAGE"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
Wewe na Simba tu! Hebu utudadavulie na issue hii!Nilijua ni hadithi za kutunga Kama hadithi zingine zinavyotungwa lakini nilipata ukweli baada ya kufuatilia kiundani na kugundua kuwa ni habari za ukweli pasi na shaka kuwa
"Saidoo Ntibazonkiza alisaini Mkataba wenye kipengele lazima acheze kikosi cha kwanza"
"Na kitakachomuweka benchi ni Majeraha, adhabu za kadi ama dharura Kama kufiwa n.k
NALIA NGWENA the undercover au afsa kipennyo kama alivyonibatiza ndugu yangu Labani og kwa kupata habari za ndani kabisa nathibitisha Hili linaukweli ndani yake kwa asilimia mia kabisa kuwa hicho kipengele kipo na Mkataba wake ndiyo ulivyosainiwa.
Maoni Yangu: Hatupaswi kumlaumu Saidoo Ntibazonkiza Ila tunapaswa kuwalaumu viongozi kwa kutengeneza Mkataba wa hovyo kama huu kwa timu kubwa Kama Simba sc.
Kuna muda Saidoo Ntibazonkiza huwa mchezo unamkataa kabisa anapaswa kufanyiwa Sub mapema lakini kutokana na kipengele cha Mkataba kocha anashindwa.
Sasa unadhani Yanga Sc hawatofunguliwa kwani umesahau kuwaWewe na Simba tu! Hebu utudadavulie na issue hii! View attachment 2961492
Shida, uongelee hii issue!Sasa unadhani Yanga Sc hawatofunguliwa kwani umesahau kuwa
Simba sc, Tabora utd, Singida Fc na walifunguliwa Sasa shida ipo wapi hapo