HahahaRage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?
KWA hiyo moyo unakuumaShida, uongelee hii issue!
[emoji16]Hapa unaweza kukuta Saido ndio aliwapelekea kina mangungu katab la kifaransa ambalo hawawezi kulisoma!!.
Kwamba hujui kuwa huo mkaba. Pia alikuwa nao benzema pale Madrid?? Au hujui hata iniesta pia pale catalonyaHuu mkataba kama ni kweli utakuwa mkataba wa hovyo kuwahi kutokea kwenye mpira, yani mchezaji aki underperform aendelee kupangwa!