Adhabu ya kadi, Majeraha na dharura ndivyo vitu vitakavyomuweka nje au benchi Saidoo Ntibazonkiza

Na lazima acheze dakika zisizopungua 75 kwenye mechi hata sarr ndio hivyo hvyo unamtoa nje kanoute unamuacha sarr.
 
Huu mkataba kama ni kweli utakuwa mkataba wa hovyo kuwahi kutokea kwenye mpira, yani mchezaji aki underperform aendelee kupangwa!
Kwamba hujui kuwa huo mkaba. Pia alikuwa nao benzema pale Madrid?? Au hujui hata iniesta pia pale catalonya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…