Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Ngojaa narudi
 


ENDELEA KUSUBIRI LAKINI TUNASUBIRI UYAJIBU HAYA MASWALI

Hukumu ya mashoga ndio yesu alisema let them grow ????,

UNAPATA WAPI MANENO HAYA ?? AU KANISA LENU MNAUPENDA HUU MCHEZO ???

Jee kama hilo gugu ndio limekuwa ndio ngano yenyewe kama lilivyo kanisa lenu na mshalipa mamlaka ya kusamehe dhambi jee hizo dhambi kweli zimesamehewa ??

na wale watakatifu wenu mashoga vipi nao ??? AU NDIO WAMEKUWA GAY SAINTS ??

 
WEWE USIYEKWISHA TUSOMEE BAADAYE UTULETEE MAJIBU YA HAYA MASWALI


Hukumu ya mashoga ndio yesu alisema let them grow ????,

UNAPATA WAPI MANENO HAYA ?? AU KANISA LENU MNAUPENDA HUU MCHEZO ???

Jee kama hilo gugu ndio limekuwa ndio ngano yenyewe kama lilivyo kanisa lenu na mshalipa mamlaka ya kusamehe dhambi jee hizo dhambi kweli zimesamehewa ??

na wale watakatifu wenu mashoga vipi nao ??? AU NDIO WAMEKUWA GAY SAINTS ??

 
nimeshakujibu [emoji4] tatizo lako linalo kusibu ilimu ghaibu huna kabsaa [emoji38] [emoji38] hivyo huwezi kuelewa abadan [emoji4]
 
nimeshakujibu [emoji4] tatizo lako linalo kusibu ilimu ghaibu huna kabsaa [emoji38] [emoji38] hivyo huwezi kuelewa abadan [emoji4]
Wewe Mwenye hiyo elimu yajibu hayo maswali !!!!!
 
utayaonaje majibu na wewe upo bize na kata '3^' [emoji38] [emoji38]

wewe unayeyaona hayo majibu tuwekee hapa

WEWE USIYEKWISHA TUSOMEE BAADAYE UTULETEE MAJIBU YA HAYA MASWALI


Hukumu ya mashoga ndio yesu alisema let them grow ????,

UNAPATA WAPI MANENO HAYA ?? AU KANISA LENU MNAUPENDA HUU MCHEZO ???

Jee kama hilo gugu ndio limekuwa ndio ngano yenyewe kama lilivyo kanisa lenu na mshalipa mamlaka ya kusamehe dhambi jee hizo dhambi kweli zimesamehewa ??

na wale watakatifu wenu mashoga vipi nao ??? AU NDIO WAMEKUWA GAY SAINTS ??

 
wewe kwa deen yako au akili yako ungefanyaje?¿ kama una mbadala kinyume na maagizo ya Mungu wetu Yesu [emoji117] [emoji117] chukua hatua [emoji123] wala usiende mbali njoo huku uswazi uwafagie wako wengi wanafumuana mikunjo kila leo[emoji117] [emoji4] halafu hata mungu wako ameagiza hao wanao vutumiana [emoji117] omba hata dua basi usiwe kama huyu [emoji117] umebakia lawama na kuturushia mate humu humu [emoji12] why [emoji46] [emoji350] [emoji350] [emoji348]
 
Kwahiyo Biblia ni kitabu kinachokwenda na wakati kwa maana hufanyiwa updates sio??
hicho ni Kitabu cha Mungu au kongamano la waandishi?? Mungu gani huyo mpumbavu asiyejua kesho itakuwaje hata kuwe na mabadiliko kila wakati ktk neno/sheria zake??
Ukitoa Quran vitabu vingine vyote vimeharibiwa na kalamu za waandishi..!!!

NB; Sio kosa lako, huujui uislam, Allah akuongoze ktk Nusra ya kweli.
 
Umepaniki sana, Dini haitetewi kwa nguvu wala kwa matusi, huu ni udhaifu mkubwa kwako na kwa dini yako..!!
Ukristo/Biblia vyote ni fake, fake, fake!!!

ktk biblia vitabu vya Mungu ni Taurat, Zabur na Injili. ila vyote vimeshaharibiwa na kalamu za waandishi, Imebaki story tu.
 
Usione ajabu kukosekana maneno au kubadilika ktk baadhi ya aya, umesahahu biblia hufanyiwa updating kila baada ya muda fulani?? ZINDUKA..!!!

NB; Christ sio Mungu.. hanauwezo wa kuangamiza hata sisimizi..
 
Usione ajabu kukosekana maneno au kubadilika ktk baadhi ya aya, umesahahu biblia hufanyiwa updating kila baada ya muda fulani?? ZINDUKA..!!!

NB; Christ sio Mungu.. hanauwezo wa kuangamiza hata sisimizi..


naomba unijuze ust; hapa[emoji117] anae 0mba Wakristo na Wayahudi waangamie nani?
 

Attachments

  • prophet-jesus-in-quran-1-728.jpg
    37.8 KB · Views: 40



Hukumu ya mashoga ndio yesu alisema let them grow ????,



UNAPATA WAPI MANENO HAYA ?? AU KANISA LENU MNAUPENDA HUU MCHEZO ???

Jee kama hilo gugu ndio limekuwa ndio ngano yenyewe kama lilivyo kanisa lenu na mshalipa mamlaka ya kusamehe dhambi jee hizo dhambi kweli zimesamehewa ??

na wale watakatifu wenu mashoga vipi nao ??? AU NDIO WAMEKUWA GAY SAINTS ??

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…