masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Sio ETI , ukabila marufuku na haya sio maneno yangu kijana ni maneno ya Mtume anaejua thamani ya binadamueti ukabila marufuku [emoji117] View attachment 971216 unabweka tu [emoji117] View attachment 971338 ili muradi uonekane una juhudi kutetea deen ya maarabu [emoji12]
Jubair ibn Mut'im reported : The Messenger of Allah (PBUH) said :
He is not one of US who calls to TRIBALISM. He is not one of US who fights for the sake of TRIBALISM. He is not one of. US who dies following the way of TRIBALISM."
Source ; Sunan abi Dawud 5102
ahahahhhahahahaajhauaua balaa liko huku mwenzake anakataa ukabila yeye anawachana live wasio waisrael kuwa ni MBWA
MATHAYO 15:26
";Akajibu, akasema; si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia MBWA ";
Ahahahhhahahahaajhauaua umeamua kuwa MBWA sie nani adi tupinge ahahahahahqhaqhahqahhh