eti ndio unafunika jungu mwenda apite [emoji15] [emoji12] yaani wamekuzidi Hata wahindi nao wana mungu wao [emoji38] [emoji38] wewe unadowea mungu wa warabu! Halafu unapo ambiwa unawaka na kubweka kuliko wenyenyewe wenye deen yao na mungu wao[emoji117]
View attachment 969855 SISI Wakristo Hata Mungu wa warabu amesha TUPA daraja kwamba ni [emoji117]
View attachment 969922 tena katutoa Hata hofu sardaus ni yetu [emoji117]
View attachment 969924 [emoji123] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106]
Ahahahhhahahahaajhauaua jamaa anatia huruma suala la wahindi kuwa na Mungu sio tatizo wala nyie kujifanyia Mungu sio tatizo si mmeamua tu kujifanyia ? ahahahhaahhahaahahahhah ndio maana hata Ibrahim aliona watu wanaabudu masanamu kama Mungu alichofanya ni kuwashauri Mungu gani huyu anapandwa na Nzi ?
QURAN 37:95
"; Akasema, hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
Hata Ibrahim alishangaa , kama ninavyoshangaa mimi leo kuwa , vipi mnaabudu Mungu alichapwa MAKONDE ? tena akaachwa na kachupi kama komando kipenzi hivi amna akili ya kufikiri?
KUHUSU kuitwa mbwa sio mimi ni Yesu ameshawaambia ametumwa kwa waisrael lakini mmemganda sasa kwanini asimiite Mbwa ?
MATHAYO 15:26
"; Akajibu , akasema ; si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia MBWA "
Mbwa akaendelea kuwa na njaa basi akapewa MAKOMBO yaliooza
MATHAYO 15:27
";Akasema, ndiyo , Bwana , lakini hata Mbwa hula MAKOMBO yaangukayo mezani pa bwana zao ";
ahahahhhahahahaajhauaua hata Quran inaafiki nyie kuitwa mbwa kwasababu ilishasema Isa ni wa Israeli tu
QURAN 3:49
"; Na ni mtume kwa wana wa Israeli"
Sasa tukusaidieje Mbwa wa Yesu Ahahaahahaaaaha , kuhusu Mohamadi Quran imemaliza kazi
QURAN 21:107
";Nasi hatukukutuma ila uwe ni rehema kwa WALIMWENGU WOTE "
QURAN 34:28
"; Na hatukukutuma ila kwa WATU WOTE, uwe mbashiri na mwonyaji. Lakini watu wengi hawajui";
sasa sijui tatizo ni lugha au ndio kukosa pa kushika unaweweseka maneno ni haya
WALIMWENGU WOTE na WATU WOTE kama kiswahili kigumu nakufundisha kiingereza cha " WATU WOTE" ni " ALL MANKIND"; ahahahhhahahahaajhauaua rahaaaaaaaa sana kupiga kilaza