Adhabu ya ko sa hili ni ipi????

Adhabu ya ko sa hili ni ipi????

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Wakuu....

naomba kujuzwa adhabu ya makosa haya.. kwa mfano mtu ambaye sio raia wa Tanzania
1. kuishi nchini bila kibali
2. kukosa viza
3.kufanya kazi bila kibali

na endapo mtu anapatikana na makosa adhabu yake ni ipi???

nitashukuru sana mkinijuza haya
 
kwa hayo makosa yote hapo adhabu yake ni faini isiyozidi 100,000 au kifungo kisichozidi miaka 3 au vyote kifungo na faini...
 
Back
Top Bottom