Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
ππππππππππππ Bichwa eeeeh ebu tuyaache haya mambo...Bichwa Komwe aenda jela kwa KUFUKULIWA MTARO ππ
Hovyo kabisa πΉ
Utakula ban humu πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππππππ Bichwa eeeeh ebu tuyaache haya mambo...Bichwa Komwe aenda jela kwa KUFUKULIWA MTARO ππ
Hovyo kabisa πΉ
Sasa huko jela ndo kwenyewe Sasa, ndo ataenda kuyafanya hayo mapenzi vzr kabisa, hapo ndo wameipa gari parking ya Bure kabisaView attachment 2982329Akijibu swali Bungeni, leo Mei 6, 2024, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Mwanaidi Khamis amsema Sheria ya Tanzania ipo wazi kwa wanaokutwa na hatia ya Kushiriki mapenzi ya Jinsia moja.
"Kitendo cha kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai, mtu yeyote ambaye atapatikana na hatia ya kosa hilo ataadhibiwa kifungo cha miaka 30, ikithibitika na mtendewa aliridhia kufanyiwa kitendo hicho basi atahusika na kosa hilo hilo.β amefafanua.
Mkuu jera hayo mambo hayafanyiki kirahisi kama unavyozania....Sasa huko jela ndo kwenyewe Sasa, ndo ataenda kuyafanya hayo mapenzi vzr kabisa, hapo ndo wameipa gari parking ya Bure kabisa
Atutajie mpaka sasa kuna wangapi wamekamatwa visiwani kwa kosa hiloSheria ya Tanzania ipo wazi kwa wanaokutwa na hatia ya Kushiriki mapenzi ya Jinsia moja.
Ukikaa jela kizembe unapakuliwa, unazoeshwa, wanakukoleza mpaka unanogewa na ndo hbr yako inakua isha ishia hapo, hata ukiachiliwa huru ndo ushakuwa Dem tyari ukija mtaani kazi yako ni kutafta Mb badala ya kMkuu jera hayo mambo hayafanyiki kirahisi kama unavyozania....
Mkuu ushawahi kukaa jela kwa mda gani...?Ukikaa jela kizembe unapakuliwa, unazoeshwa, wanakukoleza mpaka unanogewa na ndo hbr yako inakua isha ishia hapo, hata ukiachiliwa huru ndo ushakuwa Dem tyari ukija mtaani kazi yako ni kutafta Mb badala ya k