Adhabu ya kujihusisha na Mapenzi ya Jinsia moja Tanzania ni kifungo cha Miaka 30 Jela

Adhabu ya kujihusisha na Mapenzi ya Jinsia moja Tanzania ni kifungo cha Miaka 30 Jela

Bichwa Komwe aenda jela kwa KUFUKULIWA MTARO πŸ˜‚πŸ˜‚

Hovyo kabisa 😹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Bichwa eeeeh ebu tuyaache haya mambo...
Utakula ban humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
View attachment 2982329Akijibu swali Bungeni, leo Mei 6, 2024, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Mwanaidi Khamis amsema Sheria ya Tanzania ipo wazi kwa wanaokutwa na hatia ya Kushiriki mapenzi ya Jinsia moja.

"Kitendo cha kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ni kosa la jinai, mtu yeyote ambaye atapatikana na hatia ya kosa hilo ataadhibiwa kifungo cha miaka 30, ikithibitika na mtendewa aliridhia kufanyiwa kitendo hicho basi atahusika na kosa hilo hilo.” amefafanua.
Sasa huko jela ndo kwenyewe Sasa, ndo ataenda kuyafanya hayo mapenzi vzr kabisa, hapo ndo wameipa gari parking ya Bure kabisa
 
Sasa huko jela ndo kwenyewe Sasa, ndo ataenda kuyafanya hayo mapenzi vzr kabisa, hapo ndo wameipa gari parking ya Bure kabisa
Mkuu jera hayo mambo hayafanyiki kirahisi kama unavyozania....
 
Mkuu jera hayo mambo hayafanyiki kirahisi kama unavyozania....
Ukikaa jela kizembe unapakuliwa, unazoeshwa, wanakukoleza mpaka unanogewa na ndo hbr yako inakua isha ishia hapo, hata ukiachiliwa huru ndo ushakuwa Dem tyari ukija mtaani kazi yako ni kutafta Mb badala ya k
 
Ukikaa jela kizembe unapakuliwa, unazoeshwa, wanakukoleza mpaka unanogewa na ndo hbr yako inakua isha ishia hapo, hata ukiachiliwa huru ndo ushakuwa Dem tyari ukija mtaani kazi yako ni kutafta Mb badala ya k
Mkuu ushawahi kukaa jela kwa mda gani...?
 
Huyu ameshakuwa mdada mrembo kabisa, halafu kajazia kinoma
1715007078285.png
 
Kwa ziara Ile ya Mama kwenda Vatican , hiyo itabaki kuwa sheria tu lakini kwenye vitendo ni ngumu . Nimekaa paleeeee ............. Niite...........
 
Kuna siku nilikua naelekea kimara nikiwa kwenye mwendo Kasi. Nilibahatika kukaa siti Moja na dada mmoja mrembo sana nikajisemea hii kitu lazima nishuke nayo kituo chochote... Aliposhuka na mm nikashuka Ili nikamilishe mchakato wangu wa kibabe maana mule kwenye gari naona camera zote zilikua zinatuangalia sisi


Kwa bahat mbaya alivoshuka mm nilikua nyuma yake Kwa umbali kama hatua tano ivi na nilifanikiwa kumuona mwili wake wote kiukweli dada anakalio zuri sana ila kilichonisikitisha nilivomuangalia katikati ya makalio alikua amelowana kuasgitia kwamba yupo stage za juu akielekea kuharibika marinda yake.


Honestly nilimvua vyeo vyote vya uzuri na kumuona mbumbumbu tu kama mdudu
 
Kuna siku nilikua naelekea kimara nikiwa kwenye mwendo Kasi. Nilibahatika kukaa siti Moja na dada mmoja mrembo sana nikajisemea hii kitu lazima nishuke nayo kituo chochote... Aliposhuka na mm nikashuka Ili nikamilishe mchakato wangu wa kibabe maana mule kwenye gari naona camera zote zilikua zinatuangalia sisi


Kwa bahat mbaya alivoshuka mm nilikua nyuma yake Kwa umbali kama hatua tano ivi na nilifanikiwa kumuona mwili wake wote kiukweli dada anakalio zuri sana ila kilichonisikitisha nilivomuangalia katikati ya makalio alikua amelowana kuasgitia kwamba yupo stage za juu akielekea kuharibika marinda yake.


Honestly nilimvua vyeo vyote vya uzuri na kumuona mbumbumbu tu kama mdudu
 
Back
Top Bottom