Adhabu ya Manara imeisha, mbona anashiriki shughuli za Soka?

Adhabu ya Manara imeisha, mbona anashiriki shughuli za Soka?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Muoneni hapa akiwa Ikulu kwenye kongamano la Yanga.

FB_IMG_1686035180248.jpg

 
Hashiriki kama mwanamichezo na wala hajawahi kuwa mwanamichezo huyo ni kiherehere wa boss, anaishi kwa kutumia ujanja ujanja.

Ukiwa boss wake halafu Akaona kuna tajiri mwingine anampa hela zaidi yako anakuhama anaenda kuku snich yaani ni chawa, ni aina ya watu wanaonunulika kirahisi enzi hizo angechinjwa hadharani
 
Back
Top Bottom