adhabu ya ubakaji inasaidia?

enfuka nkulu

Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
48
Reaction score
4
Mwaka 1998 sheria mpya kuhusu makosa ya kujamiiana ilitungwa, SOSPA, adhabu kali ya kifungo cha miaka 30 ikawekwa. na yule anayebaka mtoto chini ya miaka 10 ni kifungo cha maisha. swali je ubakaji umepungua tangu wakati huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…