Adhabu ya wanafunzi wanaotukana walimu

Adhabu ya wanafunzi wanaotukana walimu

Prince edu

Member
Joined
Dec 16, 2011
Posts
78
Reaction score
0
Mwalimu ni mtu ambaye ni wa muhimu sana kwa maisha ya mwanafunzi yeyote yule na kupitia mwalimu tunapata madaktari,wanasheria,wabunge na wahasibu,ila kwa baadhi ya wanafunzi wanawadharau sana watu hawa kwa kuwatukana,kuwapiga na hata kuwabaka.Je,unafikiria ni adhabu itolewe ili kukomesha haya yote? Mchango wako ni wa muhimu!
 
Back
Top Bottom