Adidas yavunja mkataba na Kanye West baada ya kuonesha chuki dhidi ya Wayahudi

Adidas yavunja mkataba na Kanye West baada ya kuonesha chuki dhidi ya Wayahudi

Halafu kipindi anasema Slavery was a choice...kina Adidas walikuwa kimya.
It seems kule marekani zungumzia wote, wahindi, waarabu,wachina, weusi, wazungu....ila usiwaguse wayahudi
Japokuwa wayahudi wenyewe wasiotakiwa kuwa wayahudi si wayahudi kweli.
 
Japokuwa wayahudi wenyewe wasiotakiwa kuwa wayahudi si wayahudi kweli.
That doesnt matter.
Maana hata kila mtu duniani alitokea Afrika,
Sasa huwezi kusema wahindi sio wahindi ni waafrika.
What matters ni nani anayetambulika sasa kama myahudi na ana itikadi gani na zina effect zipi...mambo ya historia hayo hayabadilishi chochote.
 
End of an era.

He just pressed the wrong button. You can't beat them, join them.
 
That doesnt matter.
Maana hata kila mtu duniani alitokea Afrika,
Sasa huwezi kusema wahindi sio wahindi ni waafrika.
What matters ni nani anayetambulika sasa kama myahudi na ana itikadi gani na zina effect zipi...mambo ya historia hayo hayabadilishi chochote.
Asili haitafsiriki hivyo mpaka uyahudi utambulike kwa kizazi kingine unajua ni mangapi yameporwa kuharibiwa au KUFICHwa.ni kanye huyo kasema bila kujali ni nini atapoteza.
 
Asili haitafsiriki hivyo mpaka uyahudi utambulike kwa kizazi kingine unajua ni mangapi yameporwa kuharibiwa au KUFICHwa.ni kanye huyo kasema bila kujali ni nini atapoteza.
Yaliporwa yakafichwa yakaharibiwa....in past tense, saivi hatuwezi kuyarudisha.
Kwahyo kuanza kuyafuatilia hayasaidii chochote.
Kinachomata saivi ni je hawa wayahudi wa sasa wana ajenda gani na zinaleta athari gani?
Nadhani ndio kanye aliwaongelea kwa muktadha huo.
 
Back
Top Bottom