Adili Mkwela, almaarufu kwa Jina la Adili Chapakazi, Hosabati, ametoweka hewani na nyumbani kwake hajapatikana wala kuonekana kutokea majuzi.
Adili ni msanifu wa michoro (graphics designer), mwanamuziki, basketballer, pia ni movie director na producer.
Ametwnheneza na kuongoza videos za wasanii mbali mbali zilizovuma zikiwemo za
Mwanafalsafa na Profesa Jay.
Pia wimbo wake wa PEKE YANGU ulivuma sana.
Tusaidiane kimpata kaka yetu huyu mpendwa.
View attachment 3180929
View attachment 3180930