Adinani Hussein hajapatikana licha ya Polisi kupokea Tsh 13 Million kutoka kwa ndugu

Kila ubaya utalipwa
 
Siki upi wakati tunakuwa sana maboya? hakuna kulia na kusaga meno kama tunaendelea kuwa mazezeta
 
Raisi lazima ni benefisiary wa huu utekaji yeye sio mjinga, Police wanao teka wana Back up kutoka juu, wao sio wajinga kiasi hicho.

Watu wanalaumu sana Police ila ukweli ni kwamba hakuna Police kichaa watafanya vitu kama hivi bila kwanza kuwa na Back up, wanajua mziki wa kufanya vitu kama hivi kwa utashi wao wenyewe
 
Ukiona watoto wa simba wanacheza wenyewe jirani na kichaka, jua kabisa Mama yao na Baba yao wako ndani ya kichaka wametulia tuli kabisa. Hawa watoto wa simba bila wazazi wao kuwa ndani ya kichaka hawawezi kamwe kucheza cheza nje make wanaweza fanywa mbaya na Predetor wengine kama Chui na Fisi au Mbwa mwitu.

So Police sio wajinga kwenye utekaji,
 
naam wana baraka.
 
Is Magufuli alive or died? Some one said we won’t hear some body missing or abducted becuse Magufuli is dead….
What went wrong my people?
 
Kila siku mntatetea mpaka ikufikie ndio utajua uchungu ulivyo. Eti mke wa Mtu. Kila Mtu akitekwa ni mke wa Mtu. Ok
 
Siku hizi ukiwa jambazi hasa wa kutumia silaha, polisi wanamalizana na ww mapema sana...

Huyu jamaa ndugu waseme kwa nini alienda kukamatiwa mwanza? Mwanza alifuata nini!
Acheni kutetea ujinga. Kama kakamatwa Mwanza ndio auawe? Tena kwa kufichwa?
 
Zitto Kabwe alienda kwa rais akapewa pesa za matibabu kwa Sativa, aende Tena kwa rais amwulize kuhusu huyo ndugu au anasubiri mpaka aokotwe ajifanye shujaa.
 
Swali langu dogo tu. Kwanini ndugu zake walikuwa wepesi sana kutuma pesa ili ndugu yao aachiwe. Na pesa zinatumwa kiholela tu. Je walikuwa wanajua nini juu au wanajua nini juu ya ndugu yao.
 
Nyumbu unadhani Wana akili!!..hawajui kipi waseme kipi wasiseme,eti mpenzi wake wa Dodoma!!,lingeandika rafiki yake wa Dodoma lingepungua nini!?..linataka mke amlaani mumewe!!?
 
Gari ya ADINANI yenye usajili T146 DPY imeonekana kituo cha Polisi Selander bridge.
Hii gari nimeangalia kwenye website ya polisi inaonekana ipo barabarani inaendeshwa na mara ya mwisho imepigwa fine tarehe 10/07/2024 na namba ya leseni ya dereva aliyekuwa anaendesha inaonekana.
 

Attachments

Huyo mbona ni marehemu siku nyingi ....hao ndugu zake wange mtafuta Rostam azizi wamuangukie na kumsujudia basi ndugu yao angelikuwa hai hadi leo
Kwanini Rostam Aziz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…