opencheque
Member
- Aug 10, 2016
- 88
- 39
Karibu wa baharini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aya bhana nishakaribia ubarikiwe sanaKaribu wa baharini.
Durban kwa madiba?au ile ya kwa mtogole?asanteni wote mlionipokea ,kumbe jamii forum watu mnaupendo hivi daah aisee nimechelewa kuijua
kwa madibaDurban kwa madiba?au ile ya kwa mtogole?
Daah.wanasemaje huko?kwa madiba
huku maisha ya ki gangster tu mtoto wa mama lazima usandeDaah.wanasemaje huko?
Duuh.kweli.kuna wakati nilitaka kuja.ila passport ikazingua mambo mengi.na sikutaka kuzamia.huku maisha ya ki gangster tu mtoto wa mama lazima usande
Bebe kwani unataka members wote wa JF waje wakukaribishe?wadau msinilie bati ,njoeni mnipe ushirikiano mimi peninsula xavier dos santos
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] poa mama watoto nimekuelewaBebe kwani unataka members wote wa JF waje wakukaribishe?
Tumeshawakilisha sisi wachache
Endelea na mambo mengine mkuu
Kwa huduma yoyote[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] poa mama watoto nimekuelewa
kwakuwa umesema uko nchi za watu, warembo huku utawapata tuu, wao hawajali uko nchi gani mradi ni nje ya bongo tu, atakama uko zimbabwe ambako mkate mmoja ni trilion 3 za huko wao hawajalihamna members wa kike humu?
Mbona sijapokelewa na member wa kike hata mmoja?
sawa poozo la moyo wanguKwa huduma yoyote
Count on mi baba watoto [emoji12]
ndo mambo umeanza eh? mbona una tamaa mkuu.member wakiume wenyew humu wanatgemea kupokea wa kike sasa wew.....hamna members wa kike humu?
Mbona sijapokelewa na member wa kike hata mmoja?
ha ha ha kawaida mkuu si unajua like charges repel while unlike charges attractsndo mambo umeanza eh? mbona una tamaa mkuu.member wakiume wenyew humu wanatgemea kupokea wa kike sasa wew.....
kweli we umesoma phy umeiva mkuu,saw watakujeni wakukarbishe worry outha ha ha kawaida mkuu si unajua like charges repel while unlike charges attracts