Adje adje humu?

Adje adje humu?

wadau msinilie bati ,njoeni mnipe ushirikiano mimi peninsula xavier dos santos
 
hamna members wa kike humu?
Mbona sijapokelewa na member wa kike hata mmoja?
kwakuwa umesema uko nchi za watu, warembo huku utawapata tuu, wao hawajali uko nchi gani mradi ni nje ya bongo tu, atakama uko zimbabwe ambako mkate mmoja ni trilion 3 za huko wao hawajali
 
hamna members wa kike humu?
Mbona sijapokelewa na member wa kike hata mmoja?
ndo mambo umeanza eh? mbona una tamaa mkuu.member wakiume wenyew humu wanatgemea kupokea wa kike sasa wew.....
 
Back
Top Bottom