Adje adje humu?

wadau msinilie bati ,njoeni mnipe ushirikiano mimi peninsula xavier dos santos
 
Bebe kwani unataka members wote wa JF waje wakukaribishe?
Tumeshawakilisha sisi wachache

Endelea na mambo mengine mkuu
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] poa mama watoto nimekuelewa
 
hamna members wa kike humu?
Mbona sijapokelewa na member wa kike hata mmoja?
kwakuwa umesema uko nchi za watu, warembo huku utawapata tuu, wao hawajali uko nchi gani mradi ni nje ya bongo tu, atakama uko zimbabwe ambako mkate mmoja ni trilion 3 za huko wao hawajali
 
hamna members wa kike humu?
Mbona sijapokelewa na member wa kike hata mmoja?
ndo mambo umeanza eh? mbona una tamaa mkuu.member wakiume wenyew humu wanatgemea kupokea wa kike sasa wew.....
 
ndo mambo umeanza eh? mbona una tamaa mkuu.member wakiume wenyew humu wanatgemea kupokea wa kike sasa wew.....
ha ha ha kawaida mkuu si unajua like charges repel while unlike charges attracts
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…