Admin wa hili group kiboko

Admin wa hili group kiboko

Bonny

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
13,370
Reaction score
29,968
Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
nilidhani una hoja.......!
nategemea huu uzi wako kuukuta kwenye jukwaa husika baadae kidogo..
jokes.PNG
 
Back
Top Bottom