Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Halafu wenzetu timu zao zishakuaga popular na hata wachezaji wao nenda kwenye page ya christiano unakuta kwenye bio hajaandika hata kitu unakuta tu kaweka website au mwingine anaandika tu athletes bac cuz tayar ashakua fame kikwetu kwetu kiji brand kunahutaji nguvu angalia hawa ruvu shootings baada ya kua na masihara wanapost sahii hata fans wanaongezeka na ni faida kwa club kuvutia piaa watu wa biashara huoni joti kazi yake kuchekesha ndio maana tumemfollow sahii anakula deals za dstv tigo nk