Kiukweli hata mimi naona haitendei haki brand kubwa like Simba kiukweli anaandika kwa style za watu wasiotambua kuwa taasisi inapaswa kuwa na lugha ya staha inayolenga kuzungumzia jambo la msingi
Ameifanya page ya simba kuwa kama ya shabiki binafsi tena shabiki maandazi