Uncertainty
Member
- Jan 23, 2012
- 70
- 27
admission letter ya UDOM huwa inatoka na jina la mhusika na kozi yake sasa itawezekana vp mkuu!!!!
Kalipe laki mbili ya dir. Entrywakubwa naomba kuuliza. Mimi nmechaguliwa udom bsc. with eductn! je, ni lazima nilipe gharama zote kabla ya kusajiliwa? na kama jibu ndiyo inakuwaje kwa m2 ambaye hizo gharama hana na anategemea tu mkopo? mkopo wamenipa 100%...
wakubwa naomba kuuliza. Mimi nmechaguliwa udom bsc. with eductn! je, ni lazima nilipe gharama zote kabla ya kusajiliwa? na kama jibu ndiyo inakuwaje kwa m2 ambaye hizo gharama hana na anategemea tu mkopo? mkopo wamenipa 100%...