Uncertainty
Member
- Jan 23, 2012
- 70
- 27
habari za asubuhi waja jf kiukweli nimechaguliwa chuo cha Udom kupitia Nacte na nahitaji kuomba barua ya ruhusa kazini ila kikwazo kikubwa ni kuwa jina langu bado halijafika udom,kwahiyo.siwezi.kupata hiyo barua mpaka jina langu lifike chuoni.
Hivyo ninaomba kwa yeyote aliepata admission letter ya udom anitumie inbox au anipostie.
natanguliza shukrani.
Hivyo ninaomba kwa yeyote aliepata admission letter ya udom anitumie inbox au anipostie.
natanguliza shukrani.