BENGA FELIX
New Member
- Aug 19, 2012
- 3
- 0
:violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin:
Napenda kuwaarifu students wa first year UDSM kuwa tayari admission letters zimeshaanza kutolewa chuoni. Kwahiyo kama mtu unaweza kufika chuoni unaweza kufika na kukollect letters zako ikiwa ni pamoja na kupiga passport size picture.Nawatakia maandalizi mema.
angalizo
Hairuhusiwi kuchukuliana letters hizo.
Napenda kuwaarifu students wa first year UDSM kuwa tayari admission letters zimeshaanza kutolewa chuoni. Kwahiyo kama mtu unaweza kufika chuoni unaweza kufika na kukollect letters zako ikiwa ni pamoja na kupiga passport size picture.Nawatakia maandalizi mema.
angalizo
Hairuhusiwi kuchukuliana letters hizo.