barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Uzuri act bado sana kukubalika hivyo hata wakijipiga risasi mguuni hamna tabu...ACT wazalendo imebainisha msimamo wake kuhusu uwezekano wa kumsimamisha Bernad Membe nafasi ya kugombea Urais iwapo atajiunga na kutumiza vigezo vinavyotakiwa,hayo yamesema na katibu mkuu wa ACT wazalendo Ado Shaibu alipozungumza na Nipashe.
Naona ACT wanafanya kosa lile lile waliyofanya chadema,hivi vyama vya upinzani vimekuwa takataka ya wagombea wanaowekwa dustbin kule CCM
Chadema haijafanya kosa lolote la kumchukua Lowassa,Sasa waulize NZI wa kijani watakwambia 2015 ilikuwa hatari hawataki ile hali ijirudie ndio maana wamenunua wapinzani kwa gharama kama YOTE.
Membe kwenda ACT kwasasa tumbo la SISIEMU lishavurugwa ila ACT wamefanya mapema sana kuweka mkakati wao wazi.
KAZI NA BATA.
Uzuri act bado sana kukubalika hivyo hata wakijipiga risasi mguuni hamna tabu...
Chadema mpaka leo hawajarecover na mumpokea lowassa..
Nakubaliana na wewe ACT waungane na CDM wamsimamishe MEMBE!! COmbo ya MIAMBA iliyotoka CCM ikaingia UPINZANI ni hatari,MAGU hawezi kuisahau 2015 nakwambia,wamshukuru LUBUVA kawaokoa kwa goli la mkono lakini walikuwa wameshaumia.Mkuu huoni pia ni kama wapinzani wanagawana kura ,as long nia ya nccr mageuzi inajulikana ni heri chadema na act waungane ila siyo kusimamisha watu wa ccm
bila kumchukua lowasa 2015, a united chadema ingekuwa kitisho kikubwa kwa watawala leo hii.Chadema wasingempokea lowasa na hata wangeshindwa bila lowasa bado wanachama wengi wangekuwa na imani,chadema ilikuwa inakabili vitu viwili 2015 ,either lowasa ashinde ,na asiposhinda imani ya wanachama kupungua
Nafikiri wanahisi atawabeba kama Lowassa alivyoibeba Chadema,nasema haitatokea kama ilivyotokea kwa Lowassa ,sanasana Membe atajizika kisiasa totally,hakuna mwana ccm nje ya ccm aweza kuwa na ubavuACT wazalendo imebainisha msimamo wake kuhusu uwezekano wa kumsimamisha Bernad Membe nafasi ya kugombea Urais iwapo atajiunga na kutumiza vigezo vinavyotakiwa,hayo yamesema na katibu mkuu wa ACT wazalendo Ado Shaibu alipozungumza na Nipashe.
Naona ACT wanafanya kosa lile lile waliyofanya chadema,hivi vyama vya upinzani vimekuwa takataka ya wagombea wanaowekwa dustbin kule CCM
Acha at least week,pengine ikazoelekaWamiliki wa JF hebu badirisheni hii skin ya muonekano wa JF, rudisheni ile ile au nyingine. Hii ya sasa haina muonekano mzuri
ACT wazalendo imebainisha msimamo wake kuhusu uwezekano wa kumsimamisha Bernad Membe nafasi ya kugombea Urais iwapo atajiunga na kutumiza vigezo vinavyotakiwa,hayo yamesema na katibu mkuu wa ACT wazalendo Ado Shaibu alipozungumza na Nipashe.
Naona ACT wanafanya kosa lile lile waliyofanya chadema,hivi vyama vya upinzani vimekuwa takataka ya wagombea wanaowekwa dustbin kule CCM
ACT wazalendo imebainisha msimamo wake kuhusu uwezekano wa kumsimamisha Bernad Membe nafasi ya kugombea Urais iwapo atajiunga na kutumiza vigezo vinavyotakiwa,hayo yamesema na katibu mkuu wa ACT wazalendo Ado Shaibu alipozungumza na Nipashe.
Naona ACT wanafanya kosa lile lile waliyofanya chadema,hivi vyama vya upinzani vimekuwa takataka ya wagombea wanaowekwa dustbin kule CCM
Huku Tanzania hakuna wapinzani zaid ya wasaka tonge
Ndo yale chadema waliyotuletea,wameleta lowasa na akawakimbia tena, wapinzani ni wapumbavu sana
Wakikua wataachaACT wazalendo imebainisha msimamo wake kuhusu uwezekano wa kumsimamisha Bernad Membe nafasi ya kugombea Urais iwapo atajiunga na kutumiza vigezo vinavyotakiwa,hayo yamesema na katibu mkuu wa ACT wazalendo Ado Shaibu alipozungumza na Nipashe.
Naona ACT wanafanya kosa lile lile waliyofanya chadema,hivi vyama vya upinzani vimekuwa takataka ya wagombea wanaowekwa dustbin kule CCM
Hata wana ccm wengi wenu ni wasaka tonge kama tunavyo washuhudia
In God we Trust