G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,737
- 1,891
Mkuu sijui unafikiriaje kuhusu siasa! Kumbuka alipofukuzwa ccm ni sababu za kisiasa vilevile"
Kwamba tofauti iliotokea kati yake na wanaccm wenzie ndo upinzani wenyewe,
hivo ni sahihi kwake kutafuta chama chenye sera zinazoendana na msimamo wake.
Usiumize kichwa mkuu hama hama ndo siasa zenyewe!
Sisi tunatakiwa tupigie kura sera za chama, na si kupigia chama flani"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba tofauti iliotokea kati yake na wanaccm wenzie ndo upinzani wenyewe,
hivo ni sahihi kwake kutafuta chama chenye sera zinazoendana na msimamo wake.
Usiumize kichwa mkuu hama hama ndo siasa zenyewe!
Sisi tunatakiwa tupigie kura sera za chama, na si kupigia chama flani"
Kuna haja hawa wanaojiita wapinzani wakae chini na kujitafakari. Wanaishi maisha ya kukariri sana. Wanarudia makosa hayo hayo kwa kutarajia matokeo tofauti. Ni kama vile mtu kujua kuwa njia unayopita ina shimo na ulishawahi kutumbukia lakini bado unapita hapo hapo kwa matumaini ya kuwa labda shimo litakuwa limejifukia.
Inafikirisha pia kuona hao hao wapinzani wanatarajia watu kutoka chama tawala ndio wanaofaa zaidi kuwa wagombea wa vyama vyao. Hili linapelekea kwenye fikra, kuwa wao kama wao hawana uwezo wa kuongoza wala kusimamia kile wanachokihubiri na kuwa chama tawala ndio bora katika kutoa watawala.
Ifike kipindi kina Zitto wasimame wenyewe kwenye kugombea uraisi hata kama wakijua watashindwa kuliko kutegemea makapi.
Sent using Jamii Forums mobile app