Uchaguzi 2020 Ado Shaibu: ACT kumsimamisha Membe iwapo atatimiza vigezo vinavyotakiwa

Mkuu sijui unafikiriaje kuhusu siasa! Kumbuka alipofukuzwa ccm ni sababu za kisiasa vilevile"

Kwamba tofauti iliotokea kati yake na wanaccm wenzie ndo upinzani wenyewe,
hivo ni sahihi kwake kutafuta chama chenye sera zinazoendana na msimamo wake.
Usiumize kichwa mkuu hama hama ndo siasa zenyewe!

Sisi tunatakiwa tupigie kura sera za chama, na si kupigia chama flani"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mi natamani ACT watuletee membe, patakuwa hapatoshi!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wasingempokea lowasa na hata wangeshindwa bila lowasa bado wanachama wengi wangekuwa na imani,chadema ilikuwa inakabili vitu viwili 2015 ,either lowasa ashinde ,na asiposhinda imani ya wanachama kupungua
Mkuu nadhani maamuzi yao yalikuwa sahihi sababu wananchi walikuwa ba common enemy hivyo yeyote aliyepambana na CCM ni lazima muungane.

CUF walikua CCM-B sababu walikua SUK, NCCR nayo CCM B sababu ya uteuzi wa Mbatia n.k ila waliungana licha ya tofauti zao hizo.

Kwahiyo hakuna imani iliyoshuka ndio maana kura ziliweka rekodiotherwise wangemkataa wazi wazi kma Dr Makaidi kule Mtwara.

Kilichoidhoofu CHADEMA ni kuzuia mikutano,Bunge kuwa gizani, nguvu ya dola kuwakatisha tamaa, Lissu kupigwa risasi iliwaziba midomo wale wajasiri n.k kwahyo ikitokea CHADEMA imekufa ni sababu ya hujuma za TISS sio ujio wa Lowassa au udhaifu wa Mbowe.

Ndio maana tukasema mazingira ya kisiasa yaleyale yangeachwa alafu CHADEMA ikose wanachama ndio mngekua na hoja. Ssa mnawabana kila siku kesi, no operation sangara,M4C n.k alafu mnasema Mbowe kaua chama.

Kma hya ndio mawazo ya wananchi wote TZ basi tuna safari ndefu sana ya kuamka kifikra.
 
Umeongea point nzuri sana lakini uneshindwa kujua kitu kimoja mbinu za ccm za kuwachukuwa wapinzani ni tofauti kidogo na za chadema.. Kosa walilofanya chadema ni kwamba bado chadema ilikua inajenga uaminifu kwa watanzania lkn kwa upeo mdogo waviongozi wakshindwa kujua kwamba ilkua inahitaji miaka km ishirini mbele kuichukua nchi ndio wakaamini wakimchukua lowasa wangechukua nchi. Chadema bado walkua na fursa ya kuongeza namba ya wabunge na madiwani katika hali ya uaminifu kwa wananchi wake ili pia ikaweze kubadili baadhi ya sheria kandamili km ya tume ya uchaguzi. Ccm kwa sababu tayari wanadola ht km hawana uaminifu wananguvu ya kupambana coz tayar wanao kundi la kuwalinda kwa maana ya polisi, tume ya uchaguzi, jeshi, mahakama, fedha n.k. Angalia pia tofauti ya ccm na chadema, ccm wao wanapoteza mmoja wanavuna kumi. Kazi ni ndefu sn kwa upinzani tanzania
 
Ukweli ni kwamba hata CDM wapo tayari kumpa hiyo nafasi Membe akiitaka tena bila hata masharti.

Halafu hawaoni kama kilichofanyika kwa Lowasa ni makosa bali ndo siasa zenyewe hizo.
 
Kigezo si kujiunga tu? Kuna kingine zaidi ya hicho?
 
Chadema bila lowasa hata wangeshindwa watu wangekuwa bado wanaimani sana maana hamna wale mafisadi ambao waliwatukana hawapo kwenye chama ,na hata mwaka huu wangeingia wabunge wengi wa chadema (wabunge wangeongezeka),ila huu uchaguzi wa mwaka huu chadema inaonekana kupoteza au kurudi namba zile zile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…