Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema chama hicho kitampa nafasi mtu yeyote atakayehamia kuweza kugombea nafasi ya Urais.
Ado amesema taratibu za chama hicho zinasema mtu akishakuwa mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia na taratibu zingine za usaili zikifanyika na zikampitisha basi ataweza kuwa Mgombea Urais.
"Mimi nina imani hata sasa kwa wapiganaji wengi wakifanya uchambuzi wa jukwaa mbadala katika mapambano bila shaka jibu litakuwa ACT Wazalendo tutawapa nafasi ya kugombea Urais, urais ni haki ya mwanachama kila mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia" amesema Ado
Zitto akiwa Chadema alikuwa akilalamika kunyimwa nafasi ya kugombea urais, Ila kwenye chama alichoanzisha mwenyewe anashindwa kugombea.
Hayo ni maajabu nane ya dunia.
Zitto akiwa Chadema alikuwa akilalamika kunywa nafasi ya kugombea urais, Ila kwenye chama alichoanzisha mwenyewe anashindwa kugombea.
Hayo ni maajabu nane ya dunia.
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema chama hicho kitampa nafasi mtu yeyote atakayehamia kuweza kugombea nafasi ya Urais.
Ado amesema taratibu za chama hicho zinasema mtu akishakuwa mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia na taratibu zingine za usaili zikifanyika na zikampitisha basi ataweza kuwa Mgombea Urais.
"Mimi nina imani hata sasa kwa wapiganaji wengi wakifanya uchambuzi wa jukwaa mbadala katika mapambano bila shaka jibu litakuwa ACT Wazalendo tutawapa nafasi ya kugombea Urais, urais ni haki ya mwanachama kila mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia" amesema Ado
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema chama hicho kitampa nafasi mtu yeyote atakayehamia kuweza kugombea nafasi ya Urais.
Ado amesema taratibu za chama hicho zinasema mtu akishakuwa mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia na taratibu zingine za usaili zikifanyika na zikampitisha basi ataweza kuwa Mgombea Urais.
"Mimi nina imani hata sasa kwa wapiganaji wengi wakifanya uchambuzi wa jukwaa mbadala katika mapambano bila shaka jibu litakuwa ACT Wazalendo tutawapa nafasi ya kugombea Urais, urais ni haki ya mwanachama kila mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia" amesema Ado
MBOWE atajiunga ACT Wazalendo , ndio akili zenu za CCM B zinavyowadanganya? Miaka yote hamjaandaa mgombea urais mnasubiri CHADEMA ipasuke, mtangoja milele nyie watu dhalimu na waovu
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema chama hicho kitampa nafasi mtu yeyote atakayehamia kuweza kugombea nafasi ya Urais.
Ado amesema taratibu za chama hicho zinasema mtu akishakuwa mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia na taratibu zingine za usaili zikifanyika na zikampitisha basi ataweza kuwa Mgombea Urais.
"Mimi nina imani hata sasa kwa wapiganaji wengi wakifanya uchambuzi wa jukwaa mbadala katika mapambano bila shaka jibu litakuwa ACT Wazalendo tutawapa nafasi ya kugombea Urais, urais ni haki ya mwanachama kila mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia" amesema Ado
Zitto akiwa Chadema alikuwa akilalamika kunywa nafasi ya kugombea urais, Ila kwenye chama alichoanzisha mwenyewe anashindwa kugombea.
Hayo ni maajabu nane ya dunia.
MBOWE atajiunga ACT Wazalendo , ndio akili zenu za CCM B zinavyowadanganya? Miaka yote hamjaandaa mgombea urais mnasubiri CHADEMA ipasuke, mtangoja milele nyie watu dhalimu na waovu
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema chama hicho kitampa nafasi mtu yeyote atakayehamia kuweza kugombea nafasi ya Urais.
Ado amesema taratibu za chama hicho zinasema mtu akishakuwa mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia na taratibu zingine za usaili zikifanyika na zikampitisha basi ataweza kuwa Mgombea Urais.
"Mimi nina imani hata sasa kwa wapiganaji wengi wakifanya uchambuzi wa jukwaa mbadala katika mapambano bila shaka jibu litakuwa ACT Wazalendo tutawapa nafasi ya kugombea Urais, urais ni haki ya mwanachama kila mwanachama anaruhusiwa kutangaza nia" amesema Ado
Chenga ya mwili hiyo! Lowasa aliokuwa na mfuko wa kununua hiyo nafasi, TL anao? Isije ikawa kama ule wimbo wa mwanameka ee...au wimbo wa solemba solemba...
Zitto akiwa Chadema alikuwa akilalamika kunywa nafasi ya kugombea urais, Ila kwenye chama alichoanzisha mwenyewe anashindwa kugombea.
Hayo ni maajabu nane ya dunia.
Alihama CDM na sasa inaonekana anatengeza mazingira ili yule mtunza nidhamu wa cdm aje agombee na aipaishe ACT Wazalendo.. ndiko tunako elekea huko kwa kweli...