Pre GE2025 Ado Shaibu: Niko tayari kujiuzulu nafasi ya Katibu Mkuu, kama CCM itathibitisha ina wanachama Milioni 12.5

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanachama.waccm ni hewa kama ilivyo kura
 
SISIEMU kwasasa wanasajili wanachama na ili upate kitambulisho sharti ukakichukue mwenyewe na upigwe picha.
 
CCM ina wanachama mil 8 tu wengi wao ni watoto , michepuko , chawa, wakwe na ndugu wa viongozi
 
  • CCM hakika 12M
  • Uchaguzi hauamuliwi na wingi wa wanachama - linganisha kura za Lowassa vs Magufuli
 
CCM ina wanachama mil 8 tu wengi wao ni watoto , michepuko , chawa, wakwe na ndugu wa viongozi
Yaani hao viongozi wapo wangapi?Unaongea pumba sana.Baba yako angetumia condom siku mama yako anatundikwa mimba tusingepata adha ya hizi pumba zako.Sikulaumu wewe namlaumu baba yako.What a waste of space and time!
 
Yaani hao viongozi wapo wangapi?Unaongea pumba sana.Baba yako angetumia condom siku mama yako anatundikwa mimba tusingepata adha ya hizi pumba zako.Sikulaumu wewe namlaumu baba yako.What a waste of space and time!
Matusi na uchawi ndio nguzo ya kapuku, Wewe kuolewa na mtoto wa Wassira haimaanishi ndio mnamiliki ccm.

Ni rahisi tu, toeni hiyo orodha huyo Addo ajiuzulu
 
Matusi na uchawi ndio nguzo ya kapuku, Wewe kuolewa na mtoto wa Wassira haimaanishi ndio mnamiliki ccm.

Ni rahisi tu, toeni hiyo orodha huyo Addo ajiuzulu
Mrembo vipi nimegusa mahali pake?Nasikia unanyanyaswa bwana wako kashindwa kwenye uchaguzi.Umebakia kama kuku kakatwa kichwa hujui ulipo.
 
Matusi na uchawi ndio nguzo ya kapuku, Wewe kuolewa na mtoto wa Wassira haimaanishi ndio mnamiliki ccm.

Ni rahisi tu, toeni hiyo orodha huyo Addo ajiuzulu
Kwani kazi ya CCM kuripoti kwa Addo au yeye kazi yake kutoa ripoti kwa CCM

Tukiwaambia upinzani hamna viongozi hatutanii

Hivi hicho alichoongea hata mwehu anajua Addo hazimo kichwani
 
Reactions: Tui
Haiwezi kuthibitisha uongo. Uongo utabaki kuwa uongo tu.
 
Unajua maana ya kuthibitisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…