Adolf Mkenda atajwa kuwa chanzo cha Godlisten Malissa kukamatwa tena

Adolf Mkenda atajwa kuwa chanzo cha Godlisten Malissa kukamatwa tena

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2024-06-06-16-15-48-1.png

Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.

Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda, anayedaiwa kufungua kesi dhidi ya Malissa baada ya kuripoti huko nyuma kuhusu kuuawa kwa Mfanyakazi wa ndani wa Mkenda, huku wauaji wakiachwa hadi pale Malissa aliporipoti jambo hilo.

Mkenda anadai kwamba amechafuliwa na kwamba anamtaka Malissa athibitishe kwa kuweka Mkataba hadharani ili kuonyesha kwamba ni kweli Mtu huyo aliyeuawa alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Mkenda.

Huu ndio msingi wa kukamatwa tena Godlisten, lalamikaji ni Mkenda.

Tutaendelea kufukua kila kilichopo nyuma ya jambo hili bila huruma yoyote, LIWALO NA LIWE .

Usiondoke JF.

===

Kuhusu Malisa kukamatwa na kusafirishwa, soma:

Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro

Madai ya Malisa yaliyomuhusisha Adolf Mkenda na kifo cha Beatrice Minja:

Arusha: Jeshi la Polisi lamtia mbaroni mtuhumiwa anayedaiwa kumuua Beatrice Minja
 
Mambo ya kupokea tarifa na kuisambaza bila kuihakiki ni hatari. ..

Kuna wakati Yeriko Nyerere aliingia cha kike pia...

So kama ni kweli, hii iwe taa nyekundu kwa wanaharakati wote...

NB: Kama taarifa hii ni ya kweli, Mkenda ana haki ya kusafishwa...
 
Mambo ya kupokea tarifa na kuisambaza bila kuihakiki ni hatari. ..

Kuna wakati Yeriko Nyerere aliingia cha kike pia...

So kama ni kweli, hii iwe taa nyekundu kwa wanaharakati wote...

NB: Kama taarifa hii ni ya kweli, Mkenda ana haki ya kusafishwa...
Wafanyakazi wa ndani walipewa mikataba ya kazi tangu lini?
 

Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.

Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda, anayedaiwa kufungua kesi dhidi ya Malissa baada ya kuripoti huko nyuma kuhusu kuuawa kwa Mfanyakazi wa ndani wa Mkenda, huku wauaji wakiachwa hadi pale Malissa aliporipoti jambo hilo.

Mkenda anadai kwamba amechafuliwa na kwamba anamtaka Malissa athibitishe kwa kuweka Mkataba hadharani ili kuonyesha kwamba ni kweli Mtu huyo aliyeuawa alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Mkenda.

Huu ndio msingi wa kukamatwa tena Godlisten, lalamikaji ni Mkenda.

Tutaendelea kufukua kila kilichopo nyuma ya jambo hili bila huruma yoyote, LIWALO NA LIWE .

Usiondoke JF.

Kuhusu Malisa kukamatwa na kusafirishwa, soma Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro
nadhani ni muhimu kamanda malisa aende tu akathibitishe jambo hili liishe, maana naona kama liko wazi tu 🐒
 

Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.

Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda, anayedaiwa kufungua kesi dhidi ya Malissa baada ya kuripoti huko nyuma kuhusu kuuawa kwa Mfanyakazi wa ndani wa Mkenda, huku wauaji wakiachwa hadi pale Malissa aliporipoti jambo hilo.

Mkenda anadai kwamba amechafuliwa na kwamba anamtaka Malissa athibitishe kwa kuweka Mkataba hadharani ili kuonyesha kwamba ni kweli Mtu huyo aliyeuawa alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Mkenda.

Huu ndio msingi wa kukamatwa tena Godlisten, lalamikaji ni Mkenda.

Tutaendelea kufukua kila kilichopo nyuma ya jambo hili bila huruma yoyote, LIWALO NA LIWE .

Usiondoke JF.

Kuhusu Malisa kukamatwa na kusafirishwa, soma Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro
Malisa mdomo sana yule acha wambane tuone


USSR
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Uenyekiti wa Chadema ni kiss of death
 

Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.

Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda, anayedaiwa kufungua kesi dhidi ya Malissa baada ya kuripoti huko nyuma kuhusu kuuawa kwa Mfanyakazi wa ndani wa Mkenda, huku wauaji wakiachwa hadi pale Malissa aliporipoti jambo hilo.

Mkenda anadai kwamba amechafuliwa na kwamba anamtaka Malissa athibitishe kwa kuweka Mkataba hadharani ili kuonyesha kwamba ni kweli Mtu huyo aliyeuawa alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Mkenda.

Huu ndio msingi wa kukamatwa tena Godlisten, lalamikaji ni Mkenda.

Tutaendelea kufukua kila kilichopo nyuma ya jambo hili bila huruma yoyote, LIWALO NA LIWE .

Usiondoke JF.

Kuhusu Malisa kukamatwa na kusafirishwa, soma Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro
Huyu mkenda alipita kwa bao la mkono asahau hata kurudi tena bungeni.
 
Mambo ya kupokea tarifa na kuisambaza bila kuihakiki ni hatari. ..

Kuna wakati Yeriko Nyerere aliingia cha kike pia...

So kama ni kweli, hii iwe taa nyekundu kwa wanaharakati wote...

NB: Kama taarifa hii ni ya kweli, Mkenda ana haki ya kusafishwa...
Hizi kesi za mambo ya Instagram na Facebook huwa ni za kusumbuana tu, kwa sababu ni kesi ambazo ukifika wakati wa kutoa ushahidi, basi kesi inafifia hapohapo.

Ki kawaida hakuna namna ya kupata ushahidi toka kwa wamiliki wa hiyo mitandao, kwa kuwa wana mikataba na watumiaji wao wa kulinda siri zao kwa chochote wanachopost.

Ova
 

Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.

Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda, anayedaiwa kufungua kesi dhidi ya Malissa baada ya kuripoti huko nyuma kuhusu kuuawa kwa Mfanyakazi wa ndani wa Mkenda, huku wauaji wakiachwa hadi pale Malissa aliporipoti jambo hilo.

Mkenda anadai kwamba amechafuliwa na kwamba anamtaka Malissa athibitishe kwa kuweka Mkataba hadharani ili kuonyesha kwamba ni kweli Mtu huyo aliyeuawa alikuwa mfanyakazi wa ndani wa Mkenda.

Huu ndio msingi wa kukamatwa tena Godlisten, lalamikaji ni Mkenda.

Tutaendelea kufukua kila kilichopo nyuma ya jambo hili bila huruma yoyote, LIWALO NA LIWE .

Usiondoke JF.

Kuhusu Malisa kukamatwa na kusafirishwa, soma Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro
Asante kwa taarifa. Mambo ya Mahakama hatuwezi kuyaingilia. Kama ni kweli Mkenda alihusika itajulikana tu na Malisa ataachiwa.

Ila kama ni uwongo wa mitandao ambao Malisa GJ amejijengea umaarufu wa ku publish kila taakataka, basi litakuwa fundisho
 
Hizi kesi za mambo ya Instagram na Facebook huwa ni za kusumbuana tu, kwa sababu ni kesi ambazo ukifika wakati wa kutoa ushahidi, basi kesi inafifia hapohapo.

Ki kawaida hakuna namna ya kupata ushahidi toka kwa wamiliki wa hiyo mitandao, kwa kuwa wana mikataba na watumiaji wao wa kulinda siri zao kwa chochote wanachopost.

Ova
Kesi ya kusambaza uzushi haihitaji ushahidi toka kwa wamiliki wa mitandao.
 
Wafanyakazi wa ndani walipewa mikataba ya kazi tangu lini?

Kama ndio hoja hii, basi hiki unachouliza sio utetezi..

Kisheria housemaids/boys haki na maslahi yao yanalindwa na sheria za kazi za nchi kama alivyo mfanyakazi mwingine yeyote aliyeajiriwa iwe ktk sekta binafsi au serikalini..

Mwajiri yeyote asiye na mkataba na mfanyakazi wake wa ndani ni kosa kisheria.

Kama Godlisten Malissa ana uhakika kuwa Prf. Adolf Mkenda aliajiri mfanyakazi huyo na ana ushahidi wa kimkataba aidha iwe wa maneno (kuelewana kwa mazungumzo ya mdomo tu) au kwa maandishi, basi yuko salama..

Lakini kama amerusha tuhuma hizi pasipo kuwa na ushahidi wowote, basi iko shida na atapata shida sana kuthibitisha..

Hii haina maana kuwa tuhuma hizi dhidi ya Prof. Mkenda na familia yake si za kweli ama za kweli. Hilo anajua yeye.

Lakini ukiwa kama mwanasiasa smart, na kwa kuzingatia utata wa siasa za kiafrika na hasa za hapa Bongo na hususani kwa uhasama uliopo kati ya CCM na CHADEMA , mtu wa upande mmoja kurusha tuhuma fulani dhidi ya upande ule, mtu huyo anapaswa kuwa amejipanga kwelikweli kwa utetezi wa kisheria kwa sbb inaweza kuwa ndio mwanzo wa anguko la kisiasa la mtu huyo...

Jifunzeni kwa Makamu Mwenyekiti wenu Tundu Lissu. Huwa hakurupuki hovyo kurusha tuhuma fulani dhidi ya CCM au kiongozi yeyote wa serikali. Ukiona anasema jambo fulani lenye uelekeo wa kutuhumu, ujue kabisa ameshajipanga na anajua anafanya nini na matokeo yake yatakuwa nini...!

Mpaka hawa jamaa kuamua kumkamata Godlisten Malissa wanajua ni threat ktk engo fulani ya siasa zao...

Na tafsiri yake ya haraka haraka tu, ni kuwa wanamtafuta siku nyingi, na sasa wamepata weak point ya kisheria ili kumtesa nayo kuua nguvu yake ya ushawishi kisiasa. Na akikaa vibaya, watamfunga gerezani kabisa...!!
 
Kama ndio hoja hii, basi hiki unachouliza sio utetezi..

Kisheria housemaids/boys haki na maslahi yao yanalindwa na sheria za kazi za nchi kama alivyo mfanyakazi mwingine yeyote aliyeajiriwa iwe ktk sekta binafsi au serikalini..

Mwajiri yeyote asiye na mkataba na mfanyakazi wake wa ndani ni kosa kisheria.

Kama Godlisten Malissa ana uhakika kuwa Prf. Adolf Mkenda aliajiri mfanyakazi huyo na ana ushahidi wa kimkataba aidha iwe wa maneno (kuelewana kwa mazungumzo ya mdomo tu) au kwa maandishi, basi yuko salama..

Lakini kama amerusha tuhuma hizi pasipo kuwa na ushahidi wowote, basi iko shida na atapata shida sana kuthibitisha..

Hii haina maana kuwa tuhuma hizi dhidi ya Prof. Mkenda na familia yake si za kweli ama za kweli. Hilo anajua yeye.

Lakini kwa siasa za kiafrika na hasa za hapa Bongo na hususani kwa uhasama uliopo kati ya CCM na CHADEMA , mtu wa upande mmoja kurusha tuhuma fulani dhidi ya upande ule, mtu huyo anapaswa kuwa amejipanga kwelikweli kwa utetezi wa kisheria..

Jifunzeni kwa Makamu Mwenyekiti wenu Tundu Lissu. Huwa hakurupuki hovyo kurusha tuhuma fulani dhidi ya CCM au kiongozi yeyote wa serikali. Ukiona anasema jambo fulani lenye uelekeo wa kutuhumu, ujue kabisa ameshajipanga...!

Mpaka jamaa kuamua kumkamata maana yake wametafuta weak point siku nyingi na hatimaye wameipata na watamtesa kwa hiyo...
Kimsingi Taarifa ile ya Mauaji ilikuwa sahihi, kwamba ni kweli yule mtu aliuawa, na wauaji wamekamatwa, hakuna aliyesema Muuaji ni Mkenda, isipokuwa Mkenda anasema marehemu hakuwa mfanyakazi wake, sasa wadau na majirani wanasema ni mfanyakazi wake, sasa cha kushangaza Mkenda anaogopa nini hadi afungue kesi kuwafunga wanaojua ni mfanyakazi wake, anataka kuficha nini?

Kwa kukutonya tu ni kwamba hii Kesi itamwanika zaidi Mkenda kuliko hata kifo cha mfanyakazi yule
 
Back
Top Bottom