Adui mkubwa wa masikini ni masikini mwenzake

Adui mkubwa wa masikini ni masikini mwenzake

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Yaani adui mkubwa wa masikini siku zote huwa ni masikini mwenzake na wala sio tajiri. MO sio adui wa masikini, wala Bakhresa sio adui wa masikini.

Adui wa masikini ni masikini mwenzake ambaye ndiyo mashauri wake mkuu. Masikini akitaka kufanya jambo ataenda kumuuliza masikini mwenzake hapo ndiyo kimbembe kinapoanzia. Kitakacho fuata ni kukatishwa tamaa mwanzo mwisho na kutiwa hofu.

Leo hii Azam ana-pack kila kitu na siku si nyingi tusishangae Azam Ubuyu, tusishangae Azam Vitumbua, tusishange Azam Mihogo ya kupika.

Sasa hizi idea ange-present masikini kwa masikini mwenzake angekatishwa tamaa balaa. Yaani angeambiwa huwezi uza vitunbua wewe, huwezi uza mihogo unajiabisha, huwezi uza ukwaju na elimu yako ya chuo. Huwezi uza Mandazi wewe hutaweza acha kabisa.

Ila tajiri Azam anapokuja na maandazi masikini hashangai bali atakimbilia kwenda kununua hayo manadazi. Masikini atabakia kusifia yale maandazi ya Azam.

Tuendelee kukatishana tamaa kwamba kwa elimu yako hicho hakifai ilihali matajiri wenye turnover ya zaidi ya Tsh billioni 100 kwa mwaka wao wanafanya hizo ambazo wewe na mimi tunapondea hazifai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea umekaa kona ipi kaka!
Tajiri anaweza kukuwekea vizuizi ili usimfikie pale alipo kwa njia ya moja kwa moja au la, hilo ni moja.

Masikini pia anaweza kukufanyia fitina ili usimuache katika umasikini wake, bali anataka uwe chini yake au muwe sawa.
Kwahiyo swala la masikini au tajiri inategemea umekaa kona ipi na watu wapi.
 
Inategemea umekaa kona ipi kaka!
Tajiri anaweza kukuwekea vizuizi ili usimfikie pale alipo kwa njia ya moja kwa moja au la,
hilo ni moja.
Masikini pia anaweza kukufanyia fitina ili usimuache katika umasikini wake, bali anataka uwe chini yake au muwe sawa.
Kwahiyo swala la masikini au tajiri inategemea umekaa kona ipi na watu wapi.
hii ni kweli asee
tarehe 28.12.2019 nlikua zang maeneo ya stand akatokea mzee mmoja (kwa makadrio ana umri wa miaka 50+) na prado TX mpyaaaa nikaona huyo anashhuka. bdae nkamuona anarud kwny gar nkamfata nkamwambia MZEE MM NI MPAMBANAJI NNAFANYA VIBIASHARA VIDOGO VIDOGO

naomba unipe ushauri/mwanga namna gani nzuri ya kufankiwa kama ww yaan duuuuh jbu alonpa sikuamin asee.... mpaka leo nkajifunza kwamba sio rahs mtu kukupa njia anayopatia fedha aseeeeeee haya maisha acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi nilikua natafuta mlango wa biashara,sasa kwenye hilo jengo alikuwepo jamaa tunafahamiana,yeye pia alikua kachukua mlango hapo.

Nikamshirikisha kuwa nataka nichukue mlango hapa nifungue bizness aisee jamaa alinikatisha tamaa akadiriki kuniambia kuwa mlango umechukuliwa na watu tayari na wameshaanza kupanga bidhaa,kuja kufatilia kwa mwenye nyumba hakuna mtu yeyote alieuchukua mlango.

Nikaamini usemi wako adui wa maskini ni maskini mwenzie

Yani jamaa yuko radhi anidanganye ili nisipige hatua.
 
hii n kweli asee ,,
tarehe 28.12.2019 nlikua zang maeneo ya stand akatokea mzee mmoja (kwa makadrio ana umri wa miaka 50+) na prado TX mpyaaaa nikaona huyo anashhuka. bdae nkamuona anarud kwny gar nkamfata nkamwambia MZEE MM NI MPAMBANAJI NNAFANYA VIBIASHARA VIDOGO VIDOGO
naomba unpe ushaur/mwanga namna gan nzur ya kufankiwa kama ww yaan duuuuh jbu alonpa sikuamin asee.... mpaka leo nkajifunza kwamba sio rahs mtu kukupa njia anayopatia fedha aseeeeeee haya maisha acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nae ulizingua mzee mwenye 50+ ana TX ana kuInspire mpaka kwenda kumuuliza angekuwa kijana wa 25..26 kweli ila kwahuo umri rahisi na kawaida kufikia level hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii n kweli asee ,,
tarehe 28.12.2019 nlikua zang maeneo ya stand akatokea mzee mmoja (kwa makadrio ana umri wa miaka 50+) na prado TX mpyaaaa nikaona huyo anashhuka. bdae nkamuona anarud kwny gar nkamfata nkamwambia MZEE MM NI MPAMBANAJI NNAFANYA VIBIASHARA VIDOGO VIDOGO
naomba unpe ushaur/mwanga namna gan nzur ya kufankiwa kama ww yaan duuuuh jbu alonpa sikuamin asee.... mpaka leo nkajifunza kwamba sio rahs mtu kukupa njia anayopatia fedha aseeeeeee haya maisha acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mzee kakuhurumia,ingekua ni Mimi ningekupiga risasi ya chogo.Unaanzaje kumuuliza mtu barabarani hata humjui? Jenga mazoea then mengine yatafuata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mzee kakuhurumia,ingekua ni Mimi ningekupiga risasi ya chogo.Unaanzaje kumuuliza mtu barabarani hata humjui? Jenga mazoea then mengine yatafuata.

Sent using Jamii Forums mobile app
hv unaanzaje kuzoeana na mzee kama yule?? yaan hujui anakokaa wala sio jran ako,sio anko wako how comes?? au ulitaka nimuombe namba??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom