Asante [emoji39] [emoji39] [emoji39] umepika nini mamitohAsante best.. karibu tule.
Asante best.. karibu tule.
Kumbe kweli akiba haiozi eeeh![emoji848]Nimepika wali nimepasha na njegere zilikua kwenye fridge.
Kumbe kweli akiba haiozi eeeh![emoji848]
Umetisha mkuu![emoji122]Hamadi kibindoni.
Mchumba nakulaga saa kumi na moja jioni. Leo nashangaa tumbo limeniletea mapicha. Itakua sababu nimefunga na leo halafu sijapona vizuri.
Umetisha mkuu![emoji122]
Hakika kisicho kufaa leo kitakufaa kesho