Adui Muombee Njaa

Asante mpenzi. Ila bamia mbichi staki ntakula tango tu. Ntaanza kesho hiyo tiba
 
Hapo mwisho umenichekesha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
dada angu me wahenga siwaelewi hata kidogo yani utaniambiaje eti adui yangu nimuombee aishi miaka mingi 😂😂😂 au eti aliye juu mngoje chini sasa asiposhuka je si imekula kwangu
 
Ni nzuri sana lakini inazuia na kansa ya shingo ya kizazi

Mwanzoni inatia kichefuchefu ukizoea ni poa tu

Inajaza ute pia [emoji85]
Hapo kenye ute sasaaa.. napendaga kuipika kwenye mboga tu. Tena weekend hii ntapika hombo na visamaki vya kukaanga nijaze ute. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo kenye ute sasaaa.. napendaga kuipika kwenye mboga tu. Tena weekend hii ntapika hombo na visamaki vya kukaanga nijaze ute. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ute pyua ni uzitafune na ubichiii

Kwa raha zako mweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…