Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Watu wengi kwenye kambi ya upinzani wamekuwa wanadai kuwa Magufuli kabinya demokrasi ilihali huwa wanashiriki uchaguzi na ama wanashinda au wanashindwa kama ilivyo ada ya demokrasia. demokrasia haiana maana kuwa upinzani ndio ushinde tu.
Viongozi huwa hawapimwi kwa mambo ya kawaida bali yale ya kupita (transitional). Jambo transitional ambalo litamhukumu sana Maguful ni jinsi alivyosimamia maambukizi ya Korona. Amelisimamia vibaya sana kiasi kuwa hata wafuasi wake wanaweza kuwa wanakufa bila kujua kuwa wana virusi vya korona. Alizima information yoyote inayohusu korona, na kusahahu kuwa information is power.
Wakati wa ujana wetu (pamoja na yeye) tulipewa information zote kuhusu AIDS na ilitusaidia sana kujua jinsi ya kuikwepa. Sasa hivi information ya Corona haipo kabisa, na watu hawajui namna ya kuikwepa.
Watu wanajoifanya kuwa wanajua kusimamia interests za Watanzania wote wanapiga kelele kwa mambo yanayowahusu interests zao tu, kama kuruhusiwa kufanya maandamano, ambacho siyo kipimo kabisa che demokrasia, lakini sijasikia hata mmoja akizungumzia uongozi wa hili la korona linalohusu umma wa Watanzania wote. Hata wanaoliongelea, wanatumia njia hiyo hiyo ya kuhimiza maslahi yao binafsi.
Viongozi huwa hawapimwi kwa mambo ya kawaida bali yale ya kupita (transitional). Jambo transitional ambalo litamhukumu sana Maguful ni jinsi alivyosimamia maambukizi ya Korona. Amelisimamia vibaya sana kiasi kuwa hata wafuasi wake wanaweza kuwa wanakufa bila kujua kuwa wana virusi vya korona. Alizima information yoyote inayohusu korona, na kusahahu kuwa information is power.
Wakati wa ujana wetu (pamoja na yeye) tulipewa information zote kuhusu AIDS na ilitusaidia sana kujua jinsi ya kuikwepa. Sasa hivi information ya Corona haipo kabisa, na watu hawajui namna ya kuikwepa.
Watu wanajoifanya kuwa wanajua kusimamia interests za Watanzania wote wanapiga kelele kwa mambo yanayowahusu interests zao tu, kama kuruhusiwa kufanya maandamano, ambacho siyo kipimo kabisa che demokrasia, lakini sijasikia hata mmoja akizungumzia uongozi wa hili la korona linalohusu umma wa Watanzania wote. Hata wanaoliongelea, wanatumia njia hiyo hiyo ya kuhimiza maslahi yao binafsi.