Simao Latino
JF-Expert Member
- Jan 11, 2025
- 477
- 608
Mkuu, sasa adui yako anawezaje kukuletea jambo jema katika maisha yako?? Mimi ninaamini siku zote anachoweza kukuletea adui yako ni sumu tu na sio kitu kingine chema..Baada ya kua adui yangu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, sasa adui yako anawezaje kukuletea jambo jema katika maisha yako?? Mimi ninaamini siku zote anachoweza kukuletea adui yako ni sumu tu na sio kitu kingine chema..Baada ya kua adui yangu!!
Hongera sana mkuuKuna mteja wangu mmoja tulizinguana mbwai mbwai Hadi tukapelekana police Kisha mahakamani.
Sasa Kuna Binti nikaja kumpangisha kwangu, Nisijue Kumbe anaetoa pesa ya Kodi ni michepuko wake ambae ndo aliekua mteja wangu tuliezinguana kupindi kile Hadi police.
Kipind naendeleza ujenzi nasimamia mafund, jamaa kaja kapaki uani,kaingia zake ndani kula mzigo.
Tulikuja kuelewana Tena baadae, sahv Ni rafiki yangu mkubwa sana
Ramon SanchezGood Morning wadau wa JF.
Visa vya rafiki kuwa adui ni vingi mno na vimeandikwa sana humu na sehemu zingine mbalimbali. Je, adui yako anaweza kuwa rafiki? Au aliyewahi kuwa rafiki kisha akageuka adui, anaweza kuja kuwa rafiki tena hapo baadae? Any living examples please?
Kama una kisa cha namna hiyo please share with me, kwa maana kwangu ninaona ni jambo impossible kabisa.