Adult Talks 2: Ukigombana na mpenzi/mume/mke wako usiwasimulie ndugu zako mabaya yake. Wewe unaweza kumsamehe ila pengine wao hawataweza

Hakika ni kweli kabisa... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Niliwahi kumwombia mke wangu kama nimekukosea haswa hupaswi kunisemea kwenu ni Bora unisemee kwetu
 
Great thinker
 
Kuna mchizi nilikua nakaa nae geto. Hali ngumu msoto wa hali ya juu, msoto pro max hata hela ya kula ni kwa manati.

Sasa kuna kipindi dem wake alikua anataka ada, akanitonya juu juu tu ikaisha. Kwa mawazo yangu niakjua kabisa bw mdogo hana hiyo hela na pia sidhani kama anaweza mlipia ada ya chuo dem wake.
Alooo mapenzi yana nguvu sana, baada ya ule msoto wetu kupungua na dem kumpiga tukio la kihistoria jamaa(aliolewa na mchizi mwingine) ndo jamaa akaanza kunipa story.

Kiufupi jamaa alimsaidia dem laki 5 ya ada, alichangisha mchango ndgu zake huko akamtumia dem pesa.

Kwakua msoto ulishapita sikusikitika sana ila niliona jamaa ni hamnazo kabisa, yaani yeye hela ya kula ni kwa manati halafu anahonga namna hiyo. Anaingiza 0 anahonga laki alooo.

NB. Huyo dem yuko nae mpaka leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…