MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Oa mtu mtakayefanana! Bond kwenye ndoa ambapo ndicho kitu muhimu zaidi huletwa na kufanana kimtazamo ktk mambo mengi hasa yale ya msingi kuliko usahihi
Pili usioe hata kwa bahati mbaya hawa wanawake wanaharakati wanaojiwekea mizania sawa na wanaume. Ukijichanganya hapa utawapiga tukio na utaishia jela
Pili usioe hata kwa bahati mbaya hawa wanawake wanaharakati wanaojiwekea mizania sawa na wanaume. Ukijichanganya hapa utawapiga tukio na utaishia jela