Adv. Tenzi afungua kesi ya kumtaka Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango aachie ofisi baada ya kusema kwamba alimwandikia rais barua kujiuzulu

🀣🀣🀣
 
🀝
 
Kesi za kijinga kama hizi, mahakama ingekuwa inaziondoa kwa gharama (cost). Hii ingeondoa wimbi la majitu majinga kufungua mashauri kwa nia ya ku-embarrass
 
Kwani kutamka na kuandika barua na tarehe....kujiuzulu ambapo ni mwisho term hii kabla uchaguzi ni kosa ? Labda asingeandika muda ni lini tungesema siku alipotoa barua ndio siku anatakiwa kustaafu....kuacha ofisi
 
Kwani ukiandika barua ya kujiuzulu si ni lazima Rais aipokee, Aisomee na kikukubaria/Kukujibu.

Au mm ndo sielewei.

Pia nadhani mahakama ilikua na wajibu wa Kuomba barua iletwe mahakamani na Wawakilishi wa Rais ili iweze kutafsiri kisheria kama Hyo nafasi iko wazi.

Mwisho, Kivyovyote vile hili swala bado linaonesha we are very unprofessional n kama mambo yanaenda enda tu
 

ala ambalo haipo tayari kulifanya.

Mleta maombi hata hivyo alishindwa kuileta barua hiyo mahakamani na hatimaye maombi yake yakaondolewa mahakamani kwakuwa madai yake ni fununu tu ambazo ameshindwa kuthibitisha.
Ila kiukweli CCM hawana Mwenyekiti anayejua Katiba hata ya chama chake .
Mgombea urais aliyepitishwa kichawa chawa bila hata kuomba kura wala kuchukua fomu ndani ya chama.
Yaani tunaambiwa tu kuwa huyu amefanya mambo mazito hivyo asitokee mtu mwingine kugombea . Lakini wakati huo huo hajui chochote mpaka asaidiwe na watu wengine ikiwemo machawa na wastaafu .
Kama angefanya mambo makubwa jambo la kwanza tungeona waziri wake mmoja tu mzalendo ,mwenye uwezo mkubwa wa kusimamia na kulinda mali za umma kwa gharama yoyote hata kutoa uhai wake na kuamini katika uadilifu badala ya kushindana kula kwa urefu wa kamba zao na kujilimbikizia mali Fasta Fasta , kama ilivyokua kwa watangulize wake kama JPM , JK, BM , AHM na JK Nyerere:-
Wakati wa Nyerere tulimuona :-
Sokoine ,
Mwinyi ,
Salm Ahmedi Salim .
C. Msuya na Warioba

Mwinyi tukamuona
Mrema ,
Horasi Kolilba
Mkapa ,
Kikwete alienda akafunga akauti za Mzaramo mmoja aliyeficha pesa huko ulaya .

Wakati wa Mkapa wakatokea akina ,
Magufuli ,
Lowasa waziri wa maji mwenye maamuzi magumu sio hizi sanaa za kusifia sifia za Leo ,

Utawala wa JK hakuibua mtu mpya hata mmoja lakini aliendelea na majembe kama:-
JP Magufu
Lowasa tena kwa sababu ya wananchi kuwakubali hao watu.
Angalau na
Anna Tibaijuka
Asharose Migiro
Bernard Membe n.k.

Wakati wa Awamu ya Tano ya JPM ;
Tukawa na Wazalendo pia walioibuliwa na utawala wa awamu hiyo kama vile :-
Kasimu Majaliwa .
Luhana Mpina .
Bashiru Ally .
Kabudi
Halfrey Polepole.
Paulo Makonda
Philip Mpango
Spika Ndugai
angalau na
Tulia Akson pamoja na kwamba kwa sasa amekengeuka kwa kujiingiza kwenye ufisadi na kushinda kukemea Uovu na kuiwajibisha serikali kwa kulinda ugali wake . Lakini ameibuliwa from ziro to Hiro.

Tuangalie baada ya kuwekwa kwa mtawala wa Awamu ya Dr. Samia ya asiye na uchungu wa kuomba Kura hata ndani ya Chama chake . Yaani amepata umakamu kwa michongo na urais kwa nguvu ya Kakikundi kusikojulikana ndani ya CCM na sasa kakikundi hako hako kanampitisha bila kura bila utaratibu utafikiri anaenda kusimamia kikao cha kicheni Party kumbi ni Mustakabali wa taifa lenye watu mil. 60.
Yaani Rais wa mchongo kwenye Ulimwengu uliozungukwa na marais wababe wa dunia kama Trump, Kiduku,Putin, Kagame ,Ibrahim Traore, Natanyahu ,Museveni , Husein Mwinyi n.k.
Anatuletea wasaidizi wake kwa kuangalia upana wa vifua na uso wa kutisha kama vile ;
Mchengerwa
Wasira
Wapambe kama Mwijaku.
Hamonaizi.
Na List ya watu wakorofi wakorofi tu na wenye Shari shari kwa kuwatisha wapiga kura na wapinzani basi . Lakini hakufanikiwa kabisa kutuletea hata mtu mmoja mzalendo na anayepinga ufisadi kuanzia ndani ya baraza la mawaziri mpaka nje .
Angalau kidogo CDF ni mzalendo japo hasikilizwi maana hana mtandao wa kifisadi na wapambe mafisadi mwingine ni Kaganda yule wa Polisi ambaye pia ameshamtoa kupisha mafisadi ndani ya mfumo

Ni wazi kuwa Mama ni mzizi mkuu wa mafisadi ndio maana hana marafiki wazalendo wala mtandao huo hana katika teuzi zake .

Tumebakiwa na Mtu mmoja tu Watanganyika katika Duniani hii inayokaliwa na waovu na kuneemeka juu ya neema za Mwenyezi Mungu alizowaumbia watu wema . Huyu ni Tundu Antipas Lisu .
Wazalendo wote na wanyonge wa nchi hii tumuunge mkono kwani lengo la mafisadi ni nafsi zao tuu na familia zao kupitia rushwa na vitisho na kuua. Tukatae huu mfumo wa kuweka watawala kihuni kwa kutumia risasi na mabomu kwa mgongo wa uchaguzi feki unaogharimu pesa nyingi.
Leo hii majeshi yanahangaishwa na kwenye maandalizi ya kutumia nguvu kupora uchaguzi wakati hawalipwi hata pesa za kusafirisha familia zao baada ya kustaafu wala pesa za kula wanapokuwa kwenye safari za kijeshi.

RIP JPM .
Karibu TUNDU Antipas Lisu utuletee mifumo imara ya kiutawala na uongozi katika taifa kwa vizazi vilivyopo na vile vijavyo.
 
Tunaomba hiyo barua kwanza ili sote tujiridhishe, isijekuwa Daktari Filipo anachafuliwa bure.
Au wakati anaongea(Philip Mpango)alikuwa intoxicated/under influence of kikombe/alilewa.Hilo nalo litazamwe.Na hata yawezekana AI ilitumika.
 
Jamaa Alifungua Kesi Kutumia Hisia Zake 🀣🀣
Na Matamshi ya Rais Akasahau mahakamani Kunapelkwa Ushahidi sio maneno
Hivi mtu akikutukana matusi au kukutishia kuondoa uhai wako, huwezi kumfungulia kesi hadi hilo tishio au matusi viwe katika maandishi?
 
..haya mambo inatakiwa Akili kubwa kuyaelewa...Wakili amefanya hivyo kuonesha udhaifu wa yanayoendelea huko juu.Mungu akimpenfa namba Moja ndio utaelewa kilicho chini ya zulia .
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi mtu akikutukana matusi au kukutishia kuondoa uhai wako, huwezi kumfungulia kesi hadi hilo tishio au matusi viwe katika maandishi?
Kama Utapeleka Mashahidi ambao watathibitisha Kweli Maneno yale ya Kutishia aliyasema Mbele yao Wakisikia Basi unaweza Kumfungulia Kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…