Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Acheni tu mazee katika maisha yangu ya shule sitakuja kuisahau advance ......tuliteseka kinoma hasa kwenye physics na chemistry maticha hao walikua nuksi wana sound kupita maelezo.........shule za serikali changamoto sana bila kupambana unakufa na tai shingoni......nakumbuka nililia sana kwenye necta practical ya physics mpaka wasimamizi wananiuliza dogo vipi mbona michozi mingi.......jamaa wametuwekea betri za jamaa walizokua wanatumia session 1 hazina nguvu kabisa

Adavance for me ilikua ni mate so bila chuki
 
Mechanics nili enjoy sana karibia vipati vyote isipokua projectile tu, kwa kuisoma kawaida ilikua inaenda ila maswali yake utajuta kuifahamu.

Topic nyingine ambayo sikuwahi isoma advance ilikua tism, ila nilijiwekea malengo kwamba swali lolote la atomic physics, heat, static na current electricity likija siliachi.
 
Physics sitaki hata kuikumbuka, Nakumbuka ilikuwa siku ya necta practical nimejiandaa na maswali yang ya mechanics, heat na current sababu tulijua vifaa alivyoambia mwalimu andae na maswali pia. Hapa nikiwa na uhakika wakupata sio chini ya 45 kati ya hamsini,
Ndani ya chumba cha mtihani vifaa vikawa ni vile vile lakn maswali hayaendani na vifaa mara msimamizi tunaona anafungua kibahasha anakuta instruction inabid aitwe mwl wa physics abadilishe vifaa, na Hapo muda unaenda, hiii siku ilikuwa ngumu sana katika kusoma kwangu physics nachokumbuka maswali mawili hata data nilishindwa kuchukua
 
Namkumbuka mwalimu wangu wa physics mwakanyamale alifanye nilipende sana somo hili, hakika alikuwa vzr sana
 
Hahaha mgote anatisha kwa maswali kila kitu anakuwekea maswali kigongo
 
Daah mi ndo nasubiri selection
Nahitji kujua more thing kwa watu ambao munaexperience
Tsap:0715131307
Plz
 
Kihombo huyo!
 
O level nilisoma engineering science, advance nikaona nisiiache physics, na chuo nikaenda kuipigia jiwe, ila heshima kwa physics bado inabaki pale pale
 
Paper ya physics nayokumbuka kuwa ilikua ngumu kwenye necta zote ilikua ya 2007,nilikua na solve paper zote za necta ila ya 2007 nilikua naiangalia tu, binafsi physics nilikua naipenda especially hyo projectile motion, maswali ya projectile motion yalikua hayakatiz kwangu ingawa kuna mengine unaweza solve week nzima ndo unapata soln,
Kusolve maswali ya projectile motion ilkua inahtaji akili ya ziada, ubunifu, pia uwe umesoma mechanics zote, ili uweze kucombine idea, ckupata A Necta ila mock na mitihani mingine ya kujipima nilikua nazipata,
 
Miaka ya 2011-2016 kuna kijana alikuwa pale Mwenge anaitwa Paul Dekka kwa Mtiga pale Mapambano alisoma Tabora Boys, watu walikuwa wanamsifia sana hadi nikashawishika kumpeleka kijana wangu pale.
Je ni kweli alikuwa vizuri na matokeo yake yalikuwaje advance hasa Physics?
 

Hahahaha dogo umenikumbusha mbali sudy anaroho mbaya sana physics alikuwa yule jamaa ambae neno moja anarudia kwa dk 15
 
Achana na physics ya advance nyoko sitasahau pre national nlijisemea hii pepa na 86 tokeo lnatoka na 48 acha kabisa mungu mwema tu sikupata F wala E
 
Dah nimekumbuka enzi hzo minaki kuna tcha mmoja alikuwa hajui kitu kbsa so ikabidi iwe vice versa tukambatize jina la mwamba mgote
Mwaka gan mkuu also nimepta minak au ndo babu yetu yule wa go and read
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…