Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 938
Daaa🤣🤣🤣🤣mkuu usitufanyie hivyo bhana,wengne tulipata bahati ya shule tulizosoma advance tukasoma upepo tukachange gia anganii hao tukakimbilia HGL bhana,tabu za nn
Mkuu tunawasukuma nje kwa mema kabisa kwan ukitusikiliza unawez ukahisi tunadanganya saanDaaa🤣🤣🤣🤣mkuu usitufanyie hivyo bhana,wengne tulipata bahati ya shule tulizosoma advance tukasoma upepo tukachange gia anganii hao tukakimbilia HGL bhana,tabu za nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha hatari sana ila me nawaheshimu sana watu mliosoma Physics advance maana nlikua nakaa nao dom moja daaaa walikua wanakomaa hatari wakati me history napiga msuli bed tuMkuu tunawasukuma nje kwa mema kabisa kwan ukitusikiliza unawez ukahisi tunadanganya saan
Kam ambavyo watu wa economics walivokua wanadiscuss mambo yao ,yaan nilikua naona chenga saan
Sent using Jamii Forums mobile app
Darasa langu la pcm lilikua opposite na la hkl sas kila wakitoka walikuwa wanarusema kishenzi na muda mwingine wanawah kutoka na hawasomi kivile,matokeo yakij one za kutoshaHahahahaha hatari sana ila me nawaheshimu sana watu mliosoma Physics advance maana nlikua nakaa nao dom moja daaaa walikua wanakomaa hatari wakati me history napiga msuli bed tu
Sent using Jamii Forums mobile app
टथपय लटयपदय वट[emoji18][emoji13][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Phyz ya hovyo sana, iliwahi nipigisha bao kwenye pepa
Pole [emoji18][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Phyz ya hovyo sana, iliwahi nipigisha bao kwenye pepa
[emoji18][emoji2][emoji23][emoji33][emoji119]Mkuu siwezi kujutia kusota na PCB aisee, sasa nishakuwa Health Care Professional life linazidi kuchanja mbuga tu
Babu alifarikii???R. I. P. Mzee Kazibure a.k.a Babu. Alitusaidia sana kwenye A. Physics pale Kibaha High School, tulikuwa tunamfuata hadi Dar akiwa anapiga tuition shule nyingine.
R. I. P. Mzee Hela, A. Chemistry naye alitokoa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Niliipenda sana physics ....[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mimi pia niliipenda sana japo ilikuwa ngumu.Niliipenda sana physics ....
All in all God was great ...
Outstanding perfomance
Sent using Jamii Forums mobile app
Linahitaji sacrifise , na ulipendeMimi pia niliipenda sana japo ilikuwa ngumu.
Nimetumia gharama nyingi kulisoma hilo somo.
Nimetumia muda mwingi pia kulisoma.
Offcourse mpaka leo mtu akiniambia niderive baadhi ya eqution , siwez kushindwa labda chacheMimi pia niliipenda sana japo ilikuwa ngumu.
Nimetumia gharama nyingi kulisoma hilo somo.
Nimetumia muda mwingi pia kulisoma.
mkuu sasa ukichukia circular motion vipi rotationNilikuwa nachukia Circula motion na mambo ya angular Momentum
Vilikuwa vitabu vyangu hivyo. Nilikuwa namiliki vitatu isipokuwa Roger(nilikuwa naazima kwa mshikaji)Linahitaji sacrifise , na ulipende
Nlkua najitahidi nikielewe kitu nisimeze
I used mostly four books
1.roger muncaster 4th edition
2.understanding physics
3.nelkon
4.na shangazi CHAND
SIKUWAHI SOMA MGOTE , NA VITABU VYA BAADHI YA WALIMU HAPA BONGO
BRO! , MGOTE SIKUWAHI GUSA
nlshangaa sana jamaa kujiita mgote physics yaan physics ya mgote
Hapana nilikataa !!
Sent using Jamii Forums mobile app
dah , mwanangu mi nlkua naogopa ule mwandiko ![emoji28]Vilikuwa vitabu vyangu hivyo. Nilikuwa namiliki vitatu isipokuwa Roger(nilikuwa naazima kwa mshikaji)
Mgote nimemsoma mwanzo mwisho na ameni inspire kusoma Phyz sana
Vilikuwa vitabu vyangu hivyo. Nilikuwa namiliki vitatu isipokuwa Roger(nilikuwa naazima kwa mshikaji)
Mgote nimemsoma mwanzo mwisho na ameni inspire kusoma Phyz sana
Hujawahi kuona mwandiko mbaya wewe, labda hukupenda mwandiko ila ulitaka typing.dah , mwanangu mi nlkua naogopa ule mwandiko ![emoji28]
Washukuriwe wote !!
Ila mkuu we huon umuhm wa kuongeza mwaka kwa advance ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah nunda , nundaHujawahi kuona mwandiko mbaya wewe, labda hukupenda mwandiko ila ulitaka typing.
Nunda ndio alikuwa na mwandiko mbaya kama uliwahi kuona notes zake za Bios.
Siongezi mwaka mwingine, ugumu wa Advance usikie tu masikioni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]