Advanced diploma

Advanced diploma

moah

Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
58
Reaction score
59
Naomba kuulza jinsi ya kusoma advanced diploma ukitokea kidato Cha sita unatakiwa uwe credit gani au vigezo gani ukitokea form six
 
Chuo chochote mkuu naulzia vigezo tu.

Are ur serious? ina maana huna plann yoyote kichwani mwako? AU huna uwezo wa kupanga priority yako? je hujui kila chuo kina qualifications na requirements zake? e.g unataka kuchukua Advanced Diploma ya Medicine (AMO/Opthalmology) haitowezekana hata kama ulipata AAAAA+
 
Sina uhakika
Advanced Diploma NTA 7 wanasema ilishafutwa ila kuna Higher Diploma NTA 7.
 
Naomba kuulza jinsi ya kusoma advanced diploma ukitokea kidato Cha sita unatakiwa uwe credit gani au vigezo gani ukitokea form six
Ilishafutwa hii
 
Naomba kuulza jinsi ya kusoma advanced diploma ukitokea kidato Cha sita unatakiwa uwe credit gani au vigezo gani ukitokea form six
point tatu hafi mbili.au subsidiary mbili
 
Yuh cant join adv diploma directly after finishing form six u hv to have a diploma in that specific field and the requirements required
 
Yuh cant join adv diploma directly after finishing form six u hv to have a diploma in that specific field and the requirements required


Nashangaa kwanini hawa watoto hawaelewi hili jambo kaama ulivyooelezea?
 
Wewe unaongelea postgraduate diploma sisi tunaongelea advanced diploma
Naomba unieleweshe mkuu.kwa sababu huyu nae haeleweki.


vipi postgraduate diploma inakaa vipi?
na advanced diploma iko vipi?
 
Naomba unieleweshe mkuu.kwa sababu huyu nae haeleweki. Vipi postgraduate diploma inakaa vipi? na advanced diploma iko vipi?
Postgraduate Diploma kuisoma ni lazima uwe graduate, yaani uwe na Bachelors degree au Advanced Diploma (ndio maana ya neno post-). Advanced Diploma kimsingi qualifications za kujiunga hazina tofauti na za bachelors degree, lakini kwa historia tu ya nchi yetu ni kwamba ilikuwapo kabla vyuo vya elimu ya juu vinavyotoa degree havijawa vingi nchini. Baada ya mikopo kuanza kutolewa kwa kila mwenye minimum qualifications, vyuo vikaongezeka na kila kimoja kikawa kinatoa degree, Advanced Diploma ikaondolewa na NACTE, badala yake ukaanzishwa mfumo wa National Higher Diploma inayotolewa kufuata NTA Levels
 
Postgraduate Diploma kuisoma ni lazima uwe graduate, yaani uwe na Bachelors degree au Advanced Diploma (ndio maana ya neno post-). Advanced Diploma kimsingi qualifications za kujiunga hazina tofauti na za bachelors degree, lakini kwa historia tu ya nchi yetu ni kwamba ilikuwapo kabla vyuo vya elimu ya juu vinavyotoa degree havijawa vingi nchini. Baada ya mikopo kuanza kutolewa kwa kila mwenye minimum qualifications, vyuo vikaongezeka na kila kimoja kikawa kinatoa degree, Advanced Diploma ikaondolewa na NACTE, badala yake ukaanzishwa mfumo wa National Higher Diploma inayotolewa kufuata NTA Levels
Safi kabisa.excellent

nikutakie na siku njema kabisa.

au chukua pepsi baridi,nitalipia.
 
Back
Top Bottom