fazaa JF-Expert Member Joined May 20, 2009 Posts 2,984 Reaction score 1,031 Apr 24, 2012 #21 Kipipi said: Hapa kila mtu atatetea upande wake tu..... Click to expand... Kabisa kabisa hasa hao wasio olewa lazima watafute sababu ya kujitetea, si unajua tena wanawake huwa hawakosi maneno. Wataishia hivyo hivyo duniani kila kukicha, wasichana wana zaliwa ni wengi sana kuliko wanaume, nafasi zao ziko hatarini sana kubebwa na vi babes.
Kipipi said: Hapa kila mtu atatetea upande wake tu..... Click to expand... Kabisa kabisa hasa hao wasio olewa lazima watafute sababu ya kujitetea, si unajua tena wanawake huwa hawakosi maneno. Wataishia hivyo hivyo duniani kila kukicha, wasichana wana zaliwa ni wengi sana kuliko wanaume, nafasi zao ziko hatarini sana kubebwa na vi babes.