ADVICE:nina ml 6.5 biashara gani nzuri itakayonizungushi pesa yangu na faida nzuri

Yes, here we go....... now we are the home of Great Thinkers... BRAVO
 
dah!nashukuru sana kwa ushauri wako mzuri sana mkuu kwa hakika nitaufanyia kazi asilimia 95
iyo biashara ni pasua kichwa labda kama dereva ni wewe mwenyewe utaletewa hesabu miezi miwili au mitatu ya kwanza miezi mingine utajuta mi nnayo pikipiki nimempa mtu dah we acha inataka moyo mara imedakwa na polisi mara imepata ajali lakini nisikukatishe tamaa inategemea na uliyempa
 

Ningependa kukushauri biashara fulan, lakin pengine kwanza nijulishe yafuatayo'!

unaishi wap? Je kunakizuizi kwako kuhama hapo ulipo na kwenda kwingineko kwaajili ya biashara? Je kama hutaweza kutoka mahala ulipo ungekua tayari kuingia ubia na mtu mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…